Asee tecno nahisi n tatzo,mm mwnywe nina tatzo hilo yani nkizima cm nkiwasha inanchukua siyo chini ya dk15 meseji ziingie,kitu ambacho kimehatarisha ndoa yangu kwani SMS za michepuko za enzi hzo zinajirudia
Hongereni sana kenya, sisi huku bado tuna vita Kali na wapinzani, hadi tuwatokemeze kabisa ifikapo 2020,then tutachek mambo mengne .
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika harakat za hapa na pale nilibahatika kufika kipande hicho asee wako njema hawa Wadudu,unaweza ingia vijijini ukakutana na makasiri kwnye migomba.
Sent using Jamii Forums mobile app
CRDB moja ya bank zinazozingua kabisa katika suala la mikopo, mosi wanahitaji attachment kibao mara Barua ya maombi, sijui rubber stamp, uende kwa wakili, na vidude kibao yani kama unatatizo la fasta waweza kufa.M nlichukua form yao ikabdi niishie mitini but nlipoenda NMB within two days mzigo...
Asante kwa taarifa, nitoe wito kwa watanzania wenye nia njema na nchi yao waendelee kutoa taarifa juu ya uovu unaofanywa na baadhi ya Askari wasio waadilifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.