SMILE -MIFI MPYA KABISA INAUZWA KWA TSHS 60,000/ TU
KWA MAWASILIANO PIGA 0713394686 BEI HAIPUNGUI
MiFi
Now you can take your
superfast internet with you
? Multiple users
? Pocket-sized
? Up to 10-hours battery life
? Use Smile MiFi with any handset, laptop or device that is Wi-Fi enabled
Ni kweli hawakubali kabisa kusikia habari za kubadlisha njia
mm jana nime book dar -mwanza, badala ya mwz -dar , wakasema haibadiliki ng'o labda nisogeze mbele au nirudishe nyuma tarehe ya kusafiria then wanani chaji 70,000/= plus difference in ticket prices
Anahitajika kijana wa kike mwenye uzoefu wa kuuza samaki, Awe mkazi wa Tegeta
Duka lipo Tegeta kibaoni Siku za kazi 6, Off siku 1.
Mshara kwa mwezi Tshs 145,000/= . Kwa mawasiliano tuma Msg kwa 0784868826/0712796780
KIUNGO anayeweza kucheza nafasi za ulinzi pia, Shomary Kapombe atarejea kwenye kikosi cha Simba SC msimu ujao baada ya makubaliano yaliyofikiwa baina ya klabu hiyo na AS Cannes ya Ufaransa.
Habari za ndani kutoka Simba SC ambazo BIN ZUBEIRY imezipata, zinasema kwamba Mwenyekiti wa Kamati ya...
Uongozi waklabu bingwa ya Tanzania bara Dar Young Africans umeonyesha mfano wa kuigwa kwaviongozi wengine wa soka nchini siku moja baada ya kurudi kutoka Misriwalipoenda na timu kwenye mchezo dhidi ya Al Ahly.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari cha kuaminika kutoka ndani ya klabu hiyoni kwamba...
we vipi mbona kwa kuuleta huu uzi humju jamvin ni sawa kumaanisha ya kwamba '' ndo usha mwambia '' kitindo mtindo'' unge taka kumstili unge kaa kimyaaa... Somo michepuko haina dili tukae main road
Mahojiano kati ya saleh ally wa gazeti la champion toleo la 9/10/2013 na mkurugenzi mtendaji wa Azam Media mr Rhys Torrington
Salehe ally (swali lini mnaanza)
mkurugenzi- kwasasa tumeingia mkataba na tbci kurusha matangazo ya mpira (vpl) live jumamosi na jumapili , wataendelea kurusha hadi...
Zoezi Linaendelea kwa mkoa wa Dar Es salaam , Sasa ni wilaya ya TEmeke.
Wanachukua alama za Vidole Nakupiga Picha
ZINGATIA - Usivae Nguo yenye rangi Nyeupe au Blue.
Mbona unahangaika na ving'amuzi, Wengine wanasema unalipia kujiunga tu hakuna malipo ya kila mwezi, kumbe ni janja ya kuingilia sokoni........... kuna ndugu yangu kajaza kabatini tokea enzi za GTV, DST, Easy Tv n.k sasa amanunua ungo hana presha tena
Nunua DISH a.k. a Ungo ndo mpango mzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.