Umemsikia Robert Mugabe!?

Umemsikia Robert Mugabe!?

Bange mbaya

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
BBC nao ni wanafki tu vibaraka wa mataifa ya huko kwao

Japo sipendi Mugabe anavyokomaa madarakani ila kama anapigania maslahi ya watu weusi tofauti na hawa viongozi wetu mi naona poa tu...bora zimwi likujualo...
 
Sipendi uditekta wa Mugabe, ila majibu yake yaninifurahishaga saaanaa and the guyz English is on point hadi raha kumsikiliza
 
Sipendi uditekta wa Mugabe, ila majibu yake yaninifurahishaga saaanaa and the guyz English is on point hadi raha kumsikiliza
Nakumbuka 2008 Mugabe alipohojiwa na waandishi wa habari mmoja wao akamwambia "Muheshimiwa si uchukue fursa hii kuwaaga wananchi wako" Mugabe akamjibu niwaage hao wananchi kwani wanaaenda wapi? hahaha Mugabe kwa majibu namkubali sana mzee huyu
 
NI KWAKUWA HAKUNA CHA MAANA ZAIDI ZIMBABWE ZAIDI YA MASHAMBA NA V2 VIDOGOVIDOGO KAMA ILIVYO TZ.WAZUNGU WANGEKUWA WAMESHAMNG'OA MADARAKANI BT MASLAHI KWA WAZUNGU HAKUNA. ANGALIA NCHI ZENYE MALI WANAVYOINGILIA(iraki,libya,iran nk)INAWEZEKANA MISRI KUNA MKONO WAO

Usijidangaye wew inaonekana Sio mzuri kwa Geograph! Africa yote ndo yenye utitili wa Mali! Hao wazungu hawana sababu ya kuibamia Zimbabwe na wameshindwa kutengeneza sababu ya ya kumvamia kwani wao wanajua fika kua ndo wenye Makosa na Mugabe yuko sahihi!
 
Ninyi mnaosema mugabe jembe, kichwa n.k mnaelewa tofauti kati ya malkia na rais?

Wewe unaelewa tuambie Basi! Mugabe atabaki kua jembe na Simba wa Africa daima!
 
Sipendi uditekta wa Mugabe, ila majibu yake yaninifurahishaga saaanaa and the guyz English is on point hadi raha kumsikiliza

Hakuna Dikteta Africa ila Madikteta wanapatikana Ulaya na Marekani!
 
Mugabe kwa majibu tu ananipa raha. Kawajua wazungu na hila zao siku nyingi sasa akiwaambia ukweli wanakasirika.
 
very philosophical reply to that puppet. Mugabe hoyeeeeee.....
 
The American said, "We were the first on the
moon!"
Mugabe said, "So what, we're going to be
the first on the sun!"
The Russian and the American looked at each
other and shook their heads. "You can't land
on the sun, you idiot! You'll burn up!" said the
Russian.
To which the Mugabe replied, "We're not
stupid, you know. we're going at night!"

Huyo alikuwa IDD AMIN bana usimchafue ROBERT wetu..........
 
Back
Top Bottom