Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,448
- 4,980
shindwa pepo kwa jina la YESU kristo wa nazareth!
unamaanisha maruhani fellaini au? Anyaway mimi sio mswahilina
Inategemea umeingia jukwaa lipi.Jf inapoteza maana yake siku hadi siku
Ningependa utujuze ile topic ya - chuma ulete, hasa hasa mbinu zao na jinsi ya kujikinga na '' wachuma ulete''
shindwa pepo kwa jina la YESU kristo wa nazareth!
hivi ni kweli na wachawi hufa?Zindiko la muoga ni kemi
Unasema "utawaloga wachawi wenzio tu " halafu hapo hapo unasema uchawi hauamini kabisa, which is which and which is not which? How can you contradict yourself in less than 5 minutes? Anyway kinacho determine mtu kulogwa au kutokulogwa is not whether u believe in witchcraft or not ? Kama ulikuwa unadhani ukiamini au kufikiri kuwa uchawi hauwezi kuwa na nguvu kwako ndio kinga ya uchawi, utakuwa unajidanganya sana!
Baada ya jitiada za muda mrefu kidogo hatimaye nimefanikiwa kumpata mwalimu wa uchawi. Nimeanza kusoma wiki mbili zilizo pita. Lengo langu ni kuzijua vyema siri za adui shetani ili niweze kuwasaidia watanzania wenzangu, kujua njia mbalimbali za kukabiliana naye....Sun Tsu said"know thy enemy as you know yourself and in a thousand battles you willnever be in jeopardy." Kwa hizi wiki mbili za kujifunza uchawi, nimegundua kuna uchafu mwingi sana kwenye uchawi..
Hakuna chuo mkuu, kuna mchawi nimemlipa ananifundisha