Ni kweli kabisa jz cm sometimes zinazengua. nipo na iphone three kwa mda tu lkn inanizengua mpaka natamani kulia maana naipenda sana cm yangu. ila cku hizi kila napoingia kwenye app store naambiwa niwe na ios 8.0 wapendwa nashindwa elewa nifanyeje ili nifanikishe zoezi hili. kila nikienda kwa...
ndo walewale walala hoi kaongwa bia analeta taarifa ya uongo hapa potelea mbl. hata km ni kichaa ndo ukondaji gn km huyu dada hapa, dinia haina raha kweli ni matarizo. be shamed km unajua unashiriki ktk tendo hili
cjuh mr or mrs mwanailala easy way to get this tafta mtandao unaitwa crash. hii flm itakuwa easy kuonekana. jitahd hii movie nzurii sana i watched privious month. itafte
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.