wabongo na propaganda huwawezi. mengi yanafichwa kwa propagandaWaposhaji utawajua tu. Yaani ndugu na mume wake wamejitokeza kukanusha, tena yule dada ana mtoto mchanga wa mwaka mmoja ambaye hado leo yuko na mume wa huyo dada nyie bado manendelea kung'ang'ana tu. Kweli mwafrika na uchawi ni uji na mgonjwa.
Ajabu kubwa kabisa. Kuna watu wamenunuliwa kabisa. Kichaa gani atakaa kwenye chemba ya mtu?Wewe Kitaja na clouds yenu waongo. Mko nyuma ya mpango wa kuficha ukweli. Hebu tuambie familia ipi inayomtafuta na mwenye taarifa atoe taarifa polisi??? Hivi hatukumuona askari wa kike wakati wanamuopoa??? Mnataka mwenye taarifa zipi atoe polis???? Polis ipi tena???? Ina maana huyo dada kapotea tena??? Clouds ni wapiga dili na ukiwalipa wanaripoti kadri ya utakavyo. Tuelezeni ukweli si huu wa clouds
Ndiyo maana ni vigumu sana kuendelea kwa kukumbatia imani hiziClouds wa kupuuza,afya ya yule dada sio ya kufika muhimbili,kama nao wana misukule watuweke wazi,mim kwa experience yangu ukikuta mtu anatumia nguvu nyingi kudai hakuna misukule na uchawi ujue huyo ndo anayo.
So unataka kutuambia kuwa na zile picha zilizokuwa zimeonyeshwa na zenyewe ni za kutendeneza? aliingizwaje katika lile shimo? aliipata wapi ile hali ya kukonda vile? BADO KUNA MASWALI MENGI SANA YA TUKIO LILE YANAYOTAKA MAJIBU.
mWENYE PICHA PLIZ ATUWEKEE
Kama ana njaa lazima mewata zisinyae,kwa macho tu hata uwezo wako wa kufikiri ni wa nyumbu huwez kuamin kuwa yule dada anaeza kwenda muhimbili tena mwenyewe na kuomba dawa.. swali tujiulize aliwezaje kuomba dawa na kukumbuka jina akat aliuliza tu jina hakujibu na hajielewi.. af kwa maziwa yale c mtu wa kunyonyesha huyo mtoto ananyonya nini? fikirien.