Mameya Dar wamtembelea kamanda Lowassa

Mameya Dar wamtembelea kamanda Lowassa

cha kushangaza ni kwamba kwa muonekano huyu kamanda lowassa kama vile anarudi ujana , yuko fiti na ana nguvu ! hivi UKAWA mna siri gani jamani ?
 
Ndio mameya wa jiji wameshaenda kwake hutaki kajinyonge
Tulikuwa tumekaa mahali wakati maneno aliyowaambia mameya wale kuhusu bomoabomoa na utu wa mwanadamu, yupo mnazi mmoja wa ccm alikuwepo na akasema huyu jamaa (Lowassa) nilikuwa simwelewi tuu kumbe ni bonge la kiongozi.
Wote tuligeuka kumtazama, kuna kitu kilisomeka usoni pake
 
ninachomkubali mbowe...anajua kukaa kimya...he is a real leader
 
Hata mseme vp jiji lipo mikononi mwa UKAWA multiparty system haiko kama mnavyotaka kwamba mbali na Chama tawala hakuna Chama kingine kinacho weza kuongoza ni uelewa mdogo ktk hili.
 
Hata mseme vp jiji lipo mikononi mwa UKAWA multiparty system haiko kama mnavyotaka kwamba mbali na Chama tawala hakuna Chama kingine kinacho weza kuongoza ni uelewa mdogo ktk hili.
Ccm hilo ndio jambo hawataki kabisa kulisikia
 
Ulikuwa una muandama sana mbunge wangu toka mwaka jana. Lazima niwe beneti na wewe! Ulijifanya unakaa Kakonko,utafuatwa huko huko!
Karibu sana nipo hapa karibu na kakonko centre sasa hivi nipo nakula balimi lager kwa kitafunio cha migebuka,
 
Wataelewa tu hata kama ni kwa kuchelewa.
Mkuu hata kupitia hapa jukwaani wenye uwezo wa kupitia humu wanaipata hiyo elimu maana tumewashuhudia wengi wanabadilika na sasa wapo kwenye mabadiliko nje ya ccm
 
Wasije kuhujumiwa tu, maana chama tawala si haba kwenye hujuma + fitina.
 
Hata hivyo kamanda Lowasa bado anafikra ndo raisi eti. hana budi ahoji awezavyo mkuu
 
Hongereni makamanda sasa mandeleo ya kinondoni na ilala yataonekana baada ya kuwa kwenye mikono ya watu salama
 
Tulikuwa tumekaa mahali wakati maneno aliyowaambia mameya wale kuhusu bomoabomoa na utu wa mwanadamu, yupo mnazi mmoja wa ccm alikuwepo na akasema huyu jamaa (Lowassa) nilikuwa simwelewi tuu kumbe ni bonge la kiongozi.
Wote tuligeuka kumtazama, kuna kitu kilisomeka usoni pake
Mkuu wataelewa tu ni muda tu
 
Back
Top Bottom