Mi sio fund ila nina huawei 530, naskia hizi simu ni shidah, yaan zinasumbua saana software yake , nafanyaje , ishanizimia, nlipeleka kwa fundi kitamboo saaana once akaweka software nyingine lakini haikumaliza MWEZI, nimeibwaga kama miez cta nau japo bado inadai aiseeh,
Inaweza fufuka
Msaada...