Jitazame je unastahili kupumzika weekend hii?

Jitazame je unastahili kupumzika weekend hii?

Angalia Bill zako, angalia ndoto zako, angalia malengo yako kwa kias gani umeyatimiza, angalia kwenye hali yako ya sasa iko vipi, angalia akaunti yako, jiulize wikiendi una haki ya kupumzika ???! Nice weekend wapendwa
Ukipata fedha ndio bata yako hapo hapo usisubiri

wkend .....alafu sio lazima malengo yatimie ....life

is too short enjoy
 
Walio wengi huwa wanatumia pasi kujali mifuko yao iko vipi.

Umefanya vyema kukumbusha mkuu kwa sababu walio wengi wanaishi kwa tamaa kwamba nikitumia leo basi nitapata kesho na kusahau kuwa usawa wenyewe sio.
 
Inategemea na malengo yako.
Wapo wanaopiga kazi weekends zote ili kukusanya za Xmas na New year halafu zinamalizwa kwa party.
Tarehe 2 unamkuta kachoka mbaya.
Have a nice weekend
 
Kwaiyo mkuu unajiwekeaga malengo alafu huyatimizi?
Mkuu ukisubiri malengo yatimie ndio u enjoy

utakuwa bored ....kwamfano mm nina malengo

ya kumiliki ndege ....jet....sijapata why cant I

hasitate to seat and enjoy weekend with

my friends!
 
kwakweli weekend kwangu nazichukiaga sana maana ndizo siku ambazo matumizi yanakuwa makubwa kuliko siku zoote,

sio kwa starehe ila tu sababu wengi wanakuwa wapo nyumbani basi lazima nipasuke...

bora hata ninapoamuaga mwenyewe weekend/siku yangu ya kupumzika iwe hata j5 afadhalii..
 
kwakweli weekend kwangu nazichukiaga sana maana ndizo siku ambazo matumizi yanakuwa makubwa kuliko siku zoote,

sio kwa starehe ila tu sababu wengi wanakuwa wapo nyumbani basi lazima nipasuke...

bora hata ninapoamuaga mwenyewe weekend/siku yangu ya kupumzika iwe hata j5 afadhalii..
Kweli kabisa
 
Dahh..

Fanya yako mkuu. Sili kwenu.

Unafosi tufanane.!!??
Kweli kabisa usifosi tufanane, hukua na haja ya kupitia huu uzi. Naona umekuja kufosi tufanane
 
Back
Top Bottom