Binadamu binadamu, munataka kukumbukwa? Hata kwa kufanya mabo ya ajabu? ama kweli TAMAA kitu kibaya.Hivi tunakosa nini tusipojulikana na kila mtu? Hebu basi tujulikane kwa vitu vya maana. Wapo wengi maarufu wa kukumbukwa kwa kufanya vitu vya msingi. Anza leo basi in small scale.At your home or...
Watachaguliwa tena, Huwezi amini watanzania mtaani walivyokuwa wanamlaani JK kabla ya uchaguzi. Lakini uchaguzi ukaja ,mabo yaleyale. Leo tunalia tena. Wadangavyika jamani. Miaka mingine 5 ya vilio. Tujipange tu na matatizo.
Guys, Nyerere was human,lets agree there wrongs in the process of trying to make things right. In overall he did many rights to this nation. JF great thinkers thinks critically.
To my brother Zitto, come back to your senses,we need you back. We don't know who you are anymore.
urasa hiyo ni excuse jibu hoja. Wewe kuwa JF kwa muda mrefu haimaanishi there are no other Great Thinkers outside there. There are greater that us. Let them come
Ukiwa CHADEMA huwezi kwenda CCM. Mind chemistry ya watu wa huku si ya namna hii. Trojan Horse you will never win.Our minds are higher than yours Kishongo
Hicho kishindo wanachookiita kuna siku kitaisha. Watu wakichoka hata huo uchakahuaji utashindikana. Angalia Ubunge Nyamagana Mwanza.
We need big difference in number of votes.
Kuhusu huyo Mama tusitegemee chini ya hapo. Lazima amlambe huyo rahisi,ni mtandao ule ule,u-ccm hutaisha leo.
Ndugu wapigania nchi,msiipuuze hoja ya Tanzania Kwanza . As Great Thinkers should not leave any stone un-turned. Jinsi nzuri ya kuwaelimisha watanzania kuwa hiyo si kweli ni kwa kuonyesha. You prove something to be wrong by showing what is right (Counter-Example).
Suala si kuwa CHADEMA ni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.