Ni kweli Anna Makinda ni 'Mbabe'?

Ni kweli Anna Makinda ni 'Mbabe'?

Labda alikuwa anamsanifu rais wake maana mwaka huu haikukaa sawa sana!
 
Hawa ndo waarabu wapemba. Kishindo anachomaanisha ni 'kuchakachua kura kwa kishindo kikubwa', huo kwao ni ushindi. ipo siku sauti yetu itasikika na siku yenyewe ndo hiyo inakuja, maan haya ni mawingu hata rasharasha bado.
 
Tutashangaa mengi sana kwenye hili bunge la 10, huyu mama pia anaweza akaweka historia ya kuwa spika wa kwanza kujiuzuru kutokana na kushindwa kuliendesha
 
mnataka threads ngapi za mtu huyohuyo?

aaaarrrggghhhh
 
Alishinda kwa kishindo baada ya uchakachuaji akafikisha 61%. wao walitegemea apate 26%; kwa hiyo yuko sahihi kabisa
 
Hicho kishindo wanachookiita kuna siku kitaisha. Watu wakichoka hata huo uchakahuaji utashindikana. Angalia Ubunge Nyamagana Mwanza.
We need big difference in number of votes.

Kuhusu huyo Mama tusitegemee chini ya hapo. Lazima amlambe huyo rahisi,ni mtandao ule ule,u-ccm hutaisha leo.
 
Natabiri huyu mama kuacha Uspika kabla ya 2013 kwa sababu mbalimbali.
 
kuna maneno mengine unaweza ukaongea bila kutafakari, huyu mama anakurupuka kuongea tu kasahau hapo anafanyakazi kama spika na sio shabiki wa ccm, kwa maneno yake tu utajua ni kiasi gani bungeni patakuwa hapatoshi,,kila mala anasisitiza atafuata kanuni na hataki kusikia mtu kulalamika anaburuzwa...tafakali kwa nini maneno haya kila mala
 
Huyu mama anataka JK amlinde katika kipindi cha uspika wake ambao anajua atauboronga tu kama tulivyokwisha kuona mwanzo. Kwa maneno mengine ni kujikomba kwa kishindo!
 
someone tell me: will makinda use rules and regulations to promote or suppress the debates within parliament?
 
Anne makinda ana makinda, she has no mature people behind, so hata washauri wake hawajui rules; poor lady
 
Mojawapo ya jukumu la spika ni kuhakikisha ya kuwa vyombo vya dola havitumiki katika kudhalilisha kwa namna yeyote ile mbunge wa bunge la jamhuri. Katika hali hiyo sikutegemea Spika huyo akae kimya kufuatia mbunge wa Arusha(mj.) kupewa kipigo na polisi. Ukimya wake unaweza ukatafsiliwa kwamba, pengine katika mawazo yake wabunge wana tabaka mbili; wale wanaostahili heshima na wengineo.
 
Yule mama kanuni tu hajui sembuse majukumu yake? Angekuwa mwungwana angeomba ushauri kwa Sitta ili ajue la kufanya.
 
Shida ya Makinda hataki ushauri kwa mtu yoyote na hilo ni tatizo kubwa
 
Hiiiiiiiiiii nchi ishachakachuliwaaaaaaaaaaaaaaa,kwa hiyo usitegemeee huyo mama kusema chochote,ila ange kuwa mbunge wa sisiem ungesikia maneno mengi sana
 
mtu kapewa uspika kwa sababu tu anavaa sketi unategemea atafanya nini kizuri?ili nisiumize kichwa mi nimeona nichukulie bunge la jamhuri halina spika, lina mama mmoja atakae kua anakaa mbele akiuza sura tu.
 
Kanuni iko wazi kwamba mbunge akiwa nje ya mbunge akiwa hafanyi kazi za kibunge halindwi na kanuni za mbunge.

Nafikiri ndio maana mama kashindwa kusema ingawa katika hili na mimi niko radhi kujifunza kutoka kwa wenye ufahamu zaidi.
 
Kanuni iko wazi kwamba mbunge akiwa nje ya mbunge akiwa hafanyi kazi za kibunge halindwi na kanuni za mbunge.

Nafikiri ndio maana mama kashindwa kusema ingawa katika hili na mimi niko radhi kujifunza kutoka kwa wenye ufahamu zaidi.
Duh . BASI KAJIFUNZE MAANA HUJUI.
 
Back
Top Bottom