Nimeshindwa, Nahama Chadema

Nimeshindwa, Nahama Chadema

Siku zote nuru na giza havipatani, Chadema ni Nuru, CCM ni giza, nenda zako ukaishi gizani.

Mawazo ya walio wengi hata wanachama wa CCM wanaunga mkono maamuzi ya kijasiri ya wabunge wa CDM. Tuko pa1 sana na esp. Jumuia ya wasomi nina imani waliojiweka madarakani kama watawala hatima yao iko ukingoni tukiungana tutaweza.
 
Haya!!!!!!!!maajabu mengine hayo watanzania tutafakari MIMI...................NAAPA KWAMBA NITAKUWA MWAMINIFU KWA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA KWAMBA NITAIHESHIMU,KUILINDA NA KUITETEA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ILIYOWEKWA KWA MUJIBU WA SHERIA EE MWENYEZI MUNGU NISAIDIE!!!!!! halafu baada ya hayo unakuja kujitoa bungeni kwa kisingizio eti humtambui Rais ambaye ndiye kichwa cha hiyo jamhuri kwa mujibu wa katiba nani mnayemuwakirisha katika maamuzi hayo ya kipuuzi? nani aliyewaambia mtoke bungeni?nani mlimuuliza? kwa maana ya dhana ya serikali shirikishi ambayo mara zote ina washirikisha wananchi wake
Tafakari 1.Jamhuri gani aliyoiamini? 2.Katiba gani anayoilinda? 3.Mungu gani amsaidie?

Wewe ni msaliti kabisa wa Waliowema. Huuoni utetezi wanaojaribu wanachadema kukuletea mabadiliko yenye tija! Au wewe nawe umemezeshwa sumu.
 
Ukiwa CHADEMA huwezi kwenda CCM. Mind chemistry ya watu wa huku si ya namna hii. Trojan Horse you will never win.Our minds are higher than yours Kishongo
 
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.

Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.

Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.

Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.

Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!

Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Tafadhali acha spin. Tangu lini ulikuwa Chadema? Posts zako zote tukizikusanya zinaonyesha kukipinga chama hicho. Tumekustukia!
 
huyu siyo mwanapinduzi,hii ni njia mbadala kuliko maandamano ,ni rahisi na yenye ujumbe mzito,swala ni tume ya uchaguzi,uliza cuba castro walimfanyaje na sasa mambo yao poa.

Harakati za Castro huwezi kuzilinganisha na za Chadema. Yeye alikuwa na dira, Chadema haina dira.

Tunaburuzwa buruzwa tu na watu wachache wanaojiona ndio wenye chama.

Wabunge wa viti maalum hawakuchaguliwa, wameteuliwa na 'consultant'.

Uteuzi wenyewe umejaa mizengwe ya ajabu, mwishoni tumeishia na wabunge ambao ni watoto wao, mabinti zao, wakwe zao, wake zao, shangazi zao na marafiki zao.

Mwenye kujua haki zake za kiraia hawezi kuvumilia haya.

Zaidi ya yote, uamuzi wangu umesukumwa na hoja kwamba mtu niliyempa kura yangu hataki kunitumikia.

Anafanya usanii bungeni kwa amri ya mtu ambaye sikumchagua.

Bakini na lichama lenu.
 
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.

Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.

Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.

Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.

Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!

Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
you are not a member, a supporter , a zealot or any relation of the sort. so you are just nothing to chadema
 
Kwani ulipokuwa ukijiunga na CHADEMA ulimjulisha nani?
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.

Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.

Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.

Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.

Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!

Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
 
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.

Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.

Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.

Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.

Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!

Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.

Hata maandiko matakatifu yalishasema siku zaja ambapo ngano na pumba zitakapogawanywa. Sasa mziki wa chadema huuwezi mana we ni pumba lazima uende unapostahili....kwa mafisadi na wababaishaji wenzako sisiemu...nenda mamluki mkubwa wee
 
Sorry JF I sent before I finished. Let those with the love this country and with the great capacity to think address carnal issues of our society. Wewe ubaki huko majuu ukijirusha, au nayo hiyo haikutoshi? What do you need here? Uraisi 2015? Anza kampeni huko UK, hamasisha wenzio kama wewe; wachadema uwaache wapambane kivyao

Mimi ni mtanzania halisi, naishi bongo.
Ni mpambanaji katika jamii.
Naipenda nchi yangu na ninakerwa na yeyote anayetaka kuleta siasa za chuki Tanzania.
Katika Chadema hili nimeliona na linafanyika ili kufikia malengo ya kisiasa. Hii pia ni sababu iliyonifanya kukiacha.
sijawahi kuwa na pasipoti hivyo sijawahi kufika UK.
 
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.

Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.

Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.

Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.

Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!

Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.

............ 笨
 

Hongera sana kwa kuwa na maamuzi ya kiume

Siku zote fanya unachodhani kinakusaidia mkuu... usisikile watu wanasema, chambua sera na itikadi, fanya amuzi endelea na maisha. hiyo ndio demokrasia

On the same spirit, naomba uwe na dhamira ya kweli ya kukemea na kuepuka rushwa, ubazazi, unyanganyi, ukwepaji kodi na jitahidi sana huko uendako kuwa a "just" person. misingi ya taifa letu ni haki na usawa na wala sio itikadi ya chama

Nashukuru kwa ushauri, Nitauzingatia.
Tanzania ni yetu sote, hakuna chama chenye hatimiliki ya nchi yetu tukufu.
 
Shame on you....acha kuongea pumba aisee
 
toka lini ulikuwa chadema? usirudishe kadi wiki ijayo rudisha sasa......wanafiki wengine bana!

Uchaguzi umekwisha na kazi uliyotumwa umeitimiza...rudi kwa wenzako waliofulia mkaangalie namna ya kuchakachua next time.
 
Haya safari njema,wambie hao wenye mawazo kama yako na bao,this is just intr.
 
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.

Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.

Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.

Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.

Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!

Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
ficha upumbavu wako, hujawahi kuwa mwanachama wa chadema ww. baki huko huko ccm ukalambe miguu ya kina EL, RA na vijisenti.
 
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.

Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.

Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.

Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.

Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!

Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Hii nimeipenda sana na nimecheka sana asubuhi hii. Duh, hivi mbinu hizi za kitoto bado watu wanazo au wanaleta utani ili kuchekesha watu tu. Ndugu yangu ni haki yako kabisa lakini ninaamini hujawahi kuwa mchadema bali wewe ni mccm tu unayefanya ujasusi katika jamvi hili. Hata hivyo endelea na umwambie Makamba kuwa watu siku hizi si mabwege tena na wanaitakia ccm kifo cha haraka mithili ya kile cha ebola.
 
Kutokana na jina lako kukaaa kiajabu ajabu sina shaka wewe ni Malaria sugu, haya ukifika tusalimie waambie wakupe viti maalum
 
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.

Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.

Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.

Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.

Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!

Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.

Kila la kheri ktk chama chako; ila tamko lako la mwisho hamna. Mwenyekiti wako hana FIKRA.
 
Kwaheri mkuundugu yetu! ila hiyo kadi uirudishe CHADEMA sio huko unakokwendwa ni vyema uirudishe ulikoitoa.
 
Back
Top Bottom