nchasi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 564
- 187
Siku zote nuru na giza havipatani, Chadema ni Nuru, CCM ni giza, nenda zako ukaishi gizani.
Mawazo ya walio wengi hata wanachama wa CCM wanaunga mkono maamuzi ya kijasiri ya wabunge wa CDM. Tuko pa1 sana na esp. Jumuia ya wasomi nina imani waliojiweka madarakani kama watawala hatima yao iko ukingoni tukiungana tutaweza.