Mambo ya uswazi!

Rungu

JF-Expert Member
Feb 23, 2007
3,932
1,726
163817_181612538529237_100000414767907_540631_3575734_n.jpg
 
Mhe. Rungu naungana kabisa na tasia I na Shakazulu. Unafikiri kama lingekuwa timbwili kweli hiyo kanga au hiyo bukta ingekaa mahali pake kama hivyo? Yaani hata miguu yao ni misafi kabisa. Kweli hawa wanajifurahisha tu.
 
Ni michezo baada ya shibe, kawaida wa dada hupenda kukamata "vitendea kazi" vya wanaume kwenye matimbwili. Na ukiangalia mikono ya mdada imeshika kiuno cha jamaa .........., badala ya ku-mtait hapo "ikulu"
 
Wanacheza. Ingekuwa kiukweli babu kule nyuma asingeendelea na business yake ya kunywa uji.

Babu aliwazuia wasipigane lakini wao wakabisha. Sasa akasema kwa kuwa hamkunisikiliza nyie piganeni na atakayeshindwa atatia adabu. Ndo maana unamwona babu hana time nao kabisa.
 
yah, vimichezo kama hivi vinafurahisha sana na vinasukuma sana masaa huku kwetu uswazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom