Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
Tatizo hamkupambana na CCM bali mlipambana na CDM
Hiyo na faida ya uasi
Mjifunze siku nyingine akili ziwarudi
Hiyo na faida ya uasi
Mjifunze siku nyingine akili ziwarudi
Mtatiro mlikwenda Igunga mkijua kwa hakika kuwa mtapata matokeo mliyopata.
Ndio sababu mlipofika Igunga vita yenu ikawa ni Chadema na sio CCM. Kwa hiyo usije unalia lia hapa ili kudhani tapata huruma zetu.
Labda nikuhakikishie jambo moja tu kwamba hivi ndivyo itakavyokuwa hata chaguzi zijazo. Wewe baki tu ukijiridhisha kwa maneno mengi yasiyo na maana. Ile dominance ya kafu kwa siasa za upinzani bara na visiwani imekwisha. Nakuahakikishia hata kule Pemba mmekwisha.
Nashangaa kwa nini hukuzungumzia kwa nini wale wapiga kura wenu wengi wa october 2010 wamewapa kisogo!!!! Najua utabaki na story za ndoa yenu na ccm. Sawa kama ndio sababu huoni kwamba mmekwisha? Mmebaki nyie na ccm kuhubiri udini tu.
Hivi ndivyo NCCR walivyokwisha pia, now your the next. Na wewe utakwisha kisiasa na kafu yako.