Kabla hujaenda mbali, umecheki access point names? Sio kila simu inaweza kucapture APN by default, nyingine zinahitaji manual configuration na pia inaweza kucapture na ikacupture APN ya 2g only. Mfano tigo unakuta uko kwenye tigoweb badala ya internet au halotel APN inatakiwa kuwa b-internet...
Hik vision Hawana miujiza hao, reset ianze upya. Namna ya kureset, ichunguze vizuri ina kijisehemu cha kubonya na kitu chenye ncha kama pen, ukipaona press for like 30s to 1min ikiwa connected kwenye power. From there utakuta imerudi kwenye default settings then unaireconfigure upya, ikigoma...
Ulijaribu kutoa betri na kuplug adaptor moja kwa moja ? Toa betri na upress power button kwa sekunde kadhaa kama 30 hivi kudrain out power fully then plug adaptor peke ake washa uone. Jiridhishe kwanza kama kuna power issue ndo uende kwa technicians
Natafuta sana hili file pia wakuu, maana ukidownload yako zipped. Au mwenye software ya kucrack hizi password za zipped file kama isunshare ambayo iko cracked pia msaada tafadhali
Same issue niko nayo kwa tecno spark 3 pro, nadhani ni issue za security kwa sababu nikijaribu kubypass kwa keyboard hainipi zile options zinazo takiwa.Au kama kuna anaejua sofware ya kutoa frp kwenye hizi latest mtk msaada tutani
Na hii bongo lazima wajifunze kubalance mambo, walikuja wenzake wakali kuliko yeye na wakapotea, muziki bila surpporters ni kazi bure, kakitaka kalie tena!
Huwa wanapiga wengi ndio, lakini huyu dogo hajafikia level za kuanza kugawa mashabiki kisa politics sor far bado hakijachanganya sana huko politics saiz anaweza toa nyimbo na jamaa wakamsahau vilevile kwenye ufalme wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.