Recent content by franz

  1. franz

    Fahamu zaidi kuhusu Wachagga

    Sherehe ya Jubilee za kina Bibi na Babu ni moja ya matukio yanayoheshimika zaidi msimu huu.
  2. franz

    Banki tano zote zimeniambia sikopesheki japo nina asset kama dhamana

    Ili upate mtaji kwa hali yetu hapa Tanzania kunaoption kadhaa. Kwanza kabla ya mtaji ujiridhishe na aina ya kilimo unachotaka kukifanya , Gharama ya kulima mpaka mavuno, na zaidi ujiridhishe utamuuzia nani na wakati gani na risk zote along the way. Msisitizo zaidi kwenye kuuza maana hapo ndo...
  3. franz

    Banki tano zote zimeniambia sikopesheki japo nina asset kama dhamana

    Mkuu kwanza nikupongeza kwa kuchukua step kubwa kwenda benk kuomba mkopo kwani ni wachache sana wenye huo ujasiri. Pili usikasirike kwa kutopewa mkopo in your first attempt kwani umejifunza kitu kikubwa kuliko unavyodhani, wengi tumepitia njia hiyo wala usikate tamaa. Unapokopa Bank, dhamana...
  4. franz

    Ni bora tu nipewe Limbwata...

    mkuu kama ulikua kwenye mawazo yangu vile.. Jamaa keshapewa limbwata tayari labda adai nyongeza tu hapo.
  5. franz

    Kickass Torrent imefungiwa na Marekani

    Pirate bay bado inafanya kazi unaweza download hapo
  6. franz

    Wapenzi wa movie: Nukuu za Movie zilizowahi nifurahisha

    "You don't give me orders, you take them from me" ...24 series...
  7. franz

    GE2015 Je, John Pombe Magufuli ataweza kuwa Vladimir Putin wa Tanzania?

    Hakika Raisi Magufuli ameweza kuwa Putin wa Tanzania.[emoji122] [emoji122]
  8. franz

    Tuwaenzi walimu wa somo la Mwandiko

    Daaah wakati umekwenda wapi. Mwalimu Mdage na Katundu, Katumba II Primary school 1996 STD I. Ilikua unaanza kuandika chini, ukifuzu unapewa kibao cheusi na chaki then baada ya kufuzu hapo unaruhusiwa kutumia daftari na penseli.Ilileta hamasa ya kupractise ili uwe na mwandiko mzuri.
  9. franz

    GE2015 Je, John Pombe Magufuli ataweza kuwa Vladimir Putin wa Tanzania?

    Endapo John Pombe Magufuli atafanikiwa kushinda uchaguzi hapo Oktoba 2015, basi safari yake ya kuelekea ikulu itashabihiana sana ile ya bwana Vladimir Putin kwenda Kremlin mwaka 2000. Hebu tujikumbushe hali ya URUSI kati ya mwaka 1996 na 1999, ikiwa ni kipindi cha pili cha utawala wa Boris...
  10. franz

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nina ndugu yangu anahitaji kubadilishana kituo cha kazi. Amepangiwa Mkoa wa ARUSHA ARUSHA DC ni mwalimu wa Sekondari anahitaji kwenda DAR-ES SALAAM KINONDONI DC au PWANI KIBAHA DC. Aliye tayari ani PM tuwasiliane zaidi.
  11. franz

    Name 1 reason for your "single status"

    Apologise lady I love the slogan, but I doubt it's just mear words. Kama ladies wote wangeweza kuishi slogan hii, i bet sayari Tanzania would have been a better place to live as far as relation is concerned. Be Independent,Workhard and do the keeping yourself, let it be a challenge to all...
  12. franz

    Tanzanian made clean animations

    Sure a great story makes a big impact especially when It touches your community... I believe we can do it using our very own Swahili language, thinking globally and acting localy using our local content would make the difference. i believe there is a lot to tell reflecting our community...
  13. franz

    Tanzanian made clean animations

    I came to realise animation movie needs team work, its so painfull when working alone..still learning the very basics of 3D modeling in blender..for those who wanna be a part of this race then let's role together as a team, will be sharing some learning material for those are interested and are...
  14. franz

    Tanzanian made clean animations

    Its a nice clip..movie 300 ...using Swahili would make it great and awesome...congrats..
  15. franz

    Wavivu wenzangu kwenda kazini

    Duuu hii ni likizo kabisa...
Back
Top Bottom