mwalimu mwakabonga la kwanza A ubungo pr enzi hizo ubungo plaza pori pale, mihogo twala kwa ali kikono long tym.
Mwl Jekera, Mtoni Pr.sch. Dar. std I 1984 Nilikuwa namzimia sana huyu ticha, hasa alivokuwa mpole na jinsi alivyokuwa anauza ufuta mzuri wa motomoto. we acha tu.
Mwalimu Baruan mzingani primary school alikuwa anachapa na ruler mkononi hahaha