Kila mtu ananjaa, lkn pia kumbuka urais unanunuliwa na obvious kila mtu anataka faida licha ya faida hela haitoshagi so ufisadi never end.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujamiana kunaongeza uhakika wakufikia lengo la mahusiano baina ya wapenzi,kwahyo kujamiiana ni kama kuhakikishiana uaminifu kwmb tunaaminiana ndio maana tumethubutu.
Sent using Jamii Forums mobile app
NB: Kwa mwanamke, msichana, mdada au bintie kukili udhaifu kuwa eti ni mbaya wakati umevaa Pete,au una mpenzi, mchumba, mume au bwana ni kumdhalilisha mwanaume wako so pls ladies tusidhalilishane.
Sent using Jamii Forums mobile app
No, sibishi kuwa unasura ngumu licha ya kuwa una sura ngumu lkn pia unaakili na ndio uzuri ulionao au [emoji847][emoji847][emoji847]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.