fierceman
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 553
- 757
habarini wana jf niende moja kwa moja kwenye mada...nimeona wengi wakizungumza kuwa pasipo kufanya mpenzi basi hapo hakuna mapenzi ya dhati na pia kama si mzuri kitandani basi mwenza wako hatakukimbia na hatokupenda...binafsi naamini kwamba kitendo cha mwenza wako kuchepuka eti kisa humridhishi kwa bed ujue mwenza wako ni mzinifu anapenda zinaa na si wewe mwenyewe na pia huwa najiuliza kama kujamiiana ni kipimo cha upendo basi makahaba wanaongoza kwa upendo...vipi nyie waonaje? namaliza kwa kusema kuwa ukimpenda mtu huwezi gundua wala ona mapungufu yake kwa maana upendo hufunika mabaya na madhaifu ya mtu...nawasilisha