Hivi kuna Mwanamke Mrembo JF?

Hivi kuna Mwanamke Mrembo JF?

Kuna wanawake humu wanachambua zana za kivita na majina ya mabomu yote duniani wanayajua, rangi za sare za majeshi yote wanafahamu kwakweli hao kimbia haraka sana ni wagumu hatari.
HahajajaHahaha
 
,hivi kwa nini watu wenye sura ngumu wanakuwaga na akili?
NB: Sijasema wazuri hawana akili na wala sijamaanisha wenye sura ngumu wote wana akili
Kwasababu akili.ya darasan ndio kitu pekee ambacho kitampa confidence mbele za watu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom