wakubeti
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 562
- 860
Nilkua namuamin sana mdogo angu wamwisho kabla kufika chuo. Sasa iv yko UD mwaka wa 3,
chuo kilivombadilisha familia yote tumebaki vinywa wazi, anakunywa pombe(kitu ambacho ukoo wetu hakuna anae kifanya). Kuhusu wanawake imekua nijambo lakujivunia kwake, tayari anamtoto na mwanamke mwenye ujauzito. Anamiaka 21 tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
chuo kilivombadilisha familia yote tumebaki vinywa wazi, anakunywa pombe(kitu ambacho ukoo wetu hakuna anae kifanya). Kuhusu wanawake imekua nijambo lakujivunia kwake, tayari anamtoto na mwanamke mwenye ujauzito. Anamiaka 21 tuu
Sent using Jamii Forums mobile app