yuga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 376
- 265
Wamejiangusha wenyewe wewe mbn kuna watu wanamiliki manyumba na magari na wameyapatia huko huko chuoni vitu vingije msiwe mnasingizia shetani. Universities student most of them very stupidy thinking about eating, sex and only doing assignment. Ni bora tu vyuoni warudishe sheria walizonazo sekondari wengi wanavika vyuo hawajitambui ngono zembe kwa sana. Wanawake kujiuza wanaume madem kwa sana huo ni ufala pambaneni wanaume. Kumbka wote mnapewa ela sawa ila kumbka ela mnapewa ya bum sawa ila w unahonga.Huo ndiyo ukweli unaouma moyoni.
Maisha ya vyuoni yamechangia kuwaangusha baadhi badala ya kuwajenga vijana tulio wengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app