Utawezaje kumuamsha aliyelala ukiwa umelala? Kamwe huwezi kumuamsha aliyelala ukiwa umelala ni lazima kwanza uwamke ndo uweze kumuamsha aliyelala.
Hivyo hivyo kwenye biashara na ujasiriamali hii falsafa pia inatumika na kwa wale wanaotumia ndio pekee wanaofanikiwa katika malengo yao ya...
Mkuu wa mkoa wa Dar kabla hajagombana na Clouds Medía alikuwa yupo sambamba sana na wasanii hata wakipata matatizo anawa support.
Mbona hili la Roma kutekwa yupo kimya? wakati siyo kawaida yake or kugombana na Clouds ndo kagombana hadi na wasanii wa mziki?
Au anajua kinachoendelea kuhusu...
Hii ni thread niliyoianzisha kwa ajili ya ya Jamii forum members wenzangu wanaopenda kutoa duku duku lao or kumuuliza maswali faizafoxy kwa sababu ataiona hii thread inayomuhusu yeye lazima atakuja kusoma na kujibu duku duku zenu na maswali yen.
Kalibuni Sana.
Binafsi mimi dukuduku langu juu...
Leo mkurugenzi wa mawasiliano ikulu katika hafla ya kuwaapisha viongozi alimkalibisha mheshimiwa raisi aongee na wananchi lakini raisi akajibu hana la kuongea wakati si kawaida yake na ukiangalia asilimia kubwa ya watu leo wameganda kwenye TV zao wakijua raisi atatoa vijembe kama kawaida yake...
Leo katika kipindi cha mada moto kimeisha kabla ya wakati wake kwani kilitakiwa kiishe saa 5 kamili usk badala yake kikaisha 4:56 usk na hii imetokana na maneno aliyokuwa anaongea mheshimiwa msigwa juu ya maadili ya viongozi wetu ambayo yalikuwa mwiba kwa serikali hivyo mwandishi kwa hofu yake...
Mpaka sasa sijaona wasanii wengi wakipost kwenye account ya mitandao yao ya kijamii wakiipa pole Cloud's media kwa uvamizi waliofanyiwa na RC makonda kwenye studio zao jee hii inamaana wasanii wamegawanyika wengine team Makonda wengine team Cloud's?
Naona sasa maswali ya Tundu Lissu kwa mashahidi mahakamani yanaanza kutrend kama quote za Robert Mugabe mitandaoni. Kama unaweza tunga maswali ya Tundu Lissu atakayomuuliza shahidi mahakamani na majibu yake
Sasa ivi tender kalbia nyingi serikali inajipa yenyewe kupitia wakala wa majengo usishangae kuja kuckia kampuni za wazawa za construction kufilisika we c umeona wizara zinazohama kuja Dodoma wanasafirishwa na maroli ya jeshi badala ya kugawa tender kwa kampuni binafsi za usafirishaji ili...
Pombe siyo chai kuna siku nlkuwa npo nduki kinoma apo nmeshatupia nusu kreti la Safari ile naingia sitting room tu nikakutana na macho ya bimkubwa nikampa shikamoo ya ghafla, nilivyokaa kwenye kiti nikamwamkia tena yani apo nlikuwa nmejisahau kama nmemwamkia, nmeenda toi kuludi nikamwamkia tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.