Peter Msigwa asababisha mwandishi kukatisha kipindi cha Mada moto

kipusi

JF-Expert Member
Sep 29, 2015
443
74
Peter Msigwa live now mada 'wajibu wa mpiga kura baada ya uchaguzi'.
Leo katika kipindi cha mada moto kimeisha kabla ya wakati wake kwani kilitakiwa kiishe saa 5 kamili usiku badala yake kikaisha 4:56 usiku.

Na hii imetokana na maneno aliyokuwa anaongea mheshimiwa Msigwa juu ya maadili ya viongozi wetu ambayo yalikuwa mwiba kwa serikali hivyo mwandishi kwa hofu yake kaamua kumaliza kipindi kabla ya muda wake.
 
Leo katika kipindi cha mada moto kimeisha kabla ya wakati wake kwani kilitakiwa kiishe saa 5 kamili usk badala yake kikaisha 4:56 usk na hii imetokana na maneno aliyokuwa anaongea mheshimiwa msigwa juu ya maadili ya viongozi wetu ambayo yalikuwa mwiba kwa serikali hivyo mwandishi kwa hofu yake kaamua kumaliza kipindi kabla ya mda wake.
 
Leo katika kipindi cha mada moto kimeisha kabla ya wakati wake kwani kilitakiwa kiishe saa 5 kamili usk badala yake kikaisha 4:56 usk na hii imetokana na maneno aliyokuwa anaongea mheshimiwa msigwa juu ya maadili ya viongozi wetu ambayo yalikuwa mwiba kwa serikali hivyo mwandishi kwa hofu yake kaamua kumaliza kipindi kabla ya mda wake.

Siyo kweli Mkuu na acha kuwa mzushi na mwongo. Ukweli ni kwamba Mchungaji Msigwa aliongea yake yote ila kwa kawaida siku zote huyo Mtangazaji Mwalimu Albert hupenda kumaliza Kipindi chake mapema na mara nyingi sana humaliza zikiwa zimebaki dakika 5 ili kuweza kupisha Matangazo mengine madogo madogo kuchukua nafasi yake.

Acha kutaka kumchafua Mchungaji Msigwa kwa Maslahi yako kwani wote tumekiona hicho Kipindi na tunajua pia utaratibu wake na kwa jinsi ninavyomjua Mchungaji Msigwa jinsi alivyo Mtu makini hawezi kamwe kushikwa na mihemko kama Yule Ndugu yetu mropokaji na mpayukaji wa Taifa.
 
Leo katika kipindi cha mada moto kimeisha kabla ya wakati wake kwani kilitakiwa kiishe saa 5 kamili usk badala yake kikaisha 4:56 usk na hii imetokana na maneno aliyokuwa anaongea mheshimiwa msigwa juu ya maadili ya viongozi wetu ambayo yalikuwa mwiba kwa serikali hivyo mwandishi kwa hofu yake kaamua kumaliza kipindi kabla ya mda wake.
Huyu jamàa anadhani hatuna TV ama!?!!
 
Leo katika kipindi cha mada moto kimeisha kabla ya wakati wake kwani kilitakiwa kiishe saa 5 kamili usk badala yake kikaisha 4:56 usk na hii imetokana na maneno aliyokuwa anaongea mheshimiwa msigwa juu ya maadili ya viongozi wetu ambayo yalikuwa mwiba kwa serikali hivyo mwandishi kwa hofu yake kaamua kumaliza kipindi kabla ya mda wake.
Uzushi mtupu.Hicho kipindi hakikuwa live
 
Siyo kweli Mkuu na acha kuwa mzushi na mwongo. Ukweli ni kwamba Mchungaji Msigwa aliongea yake yote ila kwa kawaida siku zote huyo Mtangazaji Mwalimu Albert hupenda kumaliza Kipindi chake mapema na mara nyingi sana humaliza zikiwa zimebaki dakika 5 ili kuweza kupisha Matangazo mengine madogo madogo kuchukua nafasi yake.

Acha kutaka kumchafua Mchungaji Msigwa kwa Maslahi yako kwani wote tumekiona hicho Kipindi na tunajua pia utaratibu wake na kwa jinsi ninavyomjua Mchungaji Msigwa jinsi alivyo Mtu makini hawezi kamwe kushikwa na mihemko kama Yule Ndugu yetu mropokaji na mpayukaji wa Taifa.
Mkuu kipindi hicho mm sikukitazama lakini unaponiambia msigwa ni mtu makini inanitia mashaka maana nakumbuka msigwa huyu huyu alituambia anayemuunga lowasa mkono anapaswa kupimwa akili baadae yeye mwenyewe akaanza kumuunga mkono lowasa bila kutengua kauli yake ya awali wala kutuambia sababu inanitia mashaka kama kweli msigwa ni MTU MAKINI
 
Siyo kweli Mkuu na acha kuwa mzushi na mwongo. Ukweli ni kwamba Mchungaji Msigwa aliongea yake yote ila kwa kawaida siku zote huyo Mtangazaji Mwalimu Albert hupenda kumaliza Kipindi chake mapema na mara nyingi sana humaliza zikiwa zimebaki dakika 5 ili kuweza kupisha Matangazo mengine madogo madogo kuchukua nafasi yake.

Acha kutaka kumchafua Mchungaji Msigwa kwa Maslahi yako kwani wote tumekiona hicho Kipindi na tunajua pia utaratibu wake na kwa jinsi ninavyomjua Mchungaji Msigwa jinsi alivyo Mtu makini hawezi kamwe kushikwa na mihemko kama Yule Ndugu yetu mropokaji na mpayukaji wa Taifa.
Nasikia huyo ndugu yetu akipata wasaa wa kutoa salamu za rambirambi msibani anaweza hata kuanza kuongelea "waombolezaji" hewa!
 
msigwa naye ni muongo muongo ila namuelewa saaana..

Mchungaji msigwa....mchungaji Gwajima,mchungaji mange kimambi....hawa wa kuwaangalia sana....aiza za wachungaji kama hawa tiyari waumini tukishahabarishwa kuwatazama na kukaa nao mbali.
 
Mkuu kipindi hicho mm sikukitazama lakini unaponiambia msigwa ni mtu makini inanitia mashaka maana nakumbuka msigwa huyu huyu alituambia anayemuunga lowasa mkono anapaswa kupimwa akili baadae yeye mwenyewe akaanza kumuunga mkono lowasa bila kutengua kauli yake ya awali wala kutuambia sababu inanitia mashaka kama kweli msigwa ni MTU MAKINI

Sawa na vipi pia Kitendo cha Kiongozi wako ambaye aliunda Tume ya Maadili ambayo hufanya Kazi ya kuchunguza Vyeti vya Watumishi wake na amekuwa kila siku akiimba kuwa Yeye ni Mkweli na atatumbua tu wale Waovu wote lakini hapo hapo mmoja wa Watendaji wake amefoji Vyeti halafu hivi majuzi tu kavamia Kituo kimoja maarufu cha Habari lakini bado huyo Mheshimiwa wako anamlinda huyo Mtendaji na kuzidi kuonyesha mahaba ya wazi Kwake huku akisita kumuwajibisha?

Je unadhani kati ya Mchungaji Msigwa na huyo Kiongozi wako ni nani anastahili kutengua Kauli yake na hata kutuomba haraka sana radhi Watanzania?

Mkuu humu JF tambua kuwa kuna Vichwa vya maana vimejaa hivyo unapotoa hoja yako kwanza ipime mwenyewe kabla ya Great Thinkers hawaijachumbua na kuichana chana Kihoja zaidi.
 
Back
Top Bottom