Khaleed Shaban
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 399
- 58
Mkuu fanya mpango wa muendelezo leo si ndio jumatanoFilamu ipo lakini sijatoa kwenye filamu sababu filamu imeelezea vitu vichache sana
Mkuu fanya mpango wa muendelezo leo si ndio jumatanoFilamu ipo lakini sijatoa kwenye filamu sababu filamu imeelezea vitu vichache sana
Hujui unachokiongea keyboard warrior...ndo yaujazayo moyo wako hayo maujinga
ujinga tu..Kwa nini usiende kutafuta hiyo link we mwenyewe we fala, BTW hiyo link imo humu, story original ni ya hovyo haswa haieleweki. Huyu mjomba aendelee tu tena kwa lugha maridhawa ya Kiswahili.
Unashindia magazeti ya udaku unajiita great thinker? What was the name of the last book yo read wewe unajiita great thinker...Hii JF siyo ya GT anymore watu wana IQ ndogo sana, akili yako imekuw messed sana na mademu hamna kingine akl inawaza poor guy whoever you are, Link iko hapo juu in pdf form anaeielewa lugha ya malkia ajisomee asieelewa asubir mwana amalizie kama wewe una link ya kiswahil wape watu.
Anyway, kuna kitu utakuw una-miss in ur life which gives you so much stress na pia kuna stage haukuipitia vzur during ur childhood so psychologically u're nt okay, na it shows una ulimbuken na u-much knw in yu, yu need some counseling little guy, ulishaisoma hyo story hukuisoma has nothing to do with us, hajaanzsha hyo thread for argumentation, weng tunaijua hyo story bt mtu anapojtolea ku-type vtu vyte hvo on his time hatakama vna-miss something we appreciate coz,Unashindia magazeti ya udaku unajiita great thinker? What was the name of the last book yo read wewe unajiita great thinker...
Kila movie lazima antagonist aplay part yake
I'm not trying to make you understand, ila:-
Moja: I'm not a man
Mbili: Hujalazimishwa kusoma
Tatu: Hata ningetoa link direct bila kusimulia, na imani kati ya watu kumi mmoja pekee ndo angeweza kusoma
Nne: Link imo humu ndani wenzio wameshaitoa, siju kwa nini wewe sasa hujaenda kuisoma, naimani hujasoma comments
Tano: Don't pretend to act smart
Haters.! Hatin for no godamn reason,link imewekwa uko juu hajasoma n' yet analalamika.
Sina mood ya kuongea sana acha niishie hapa kwa leo aiseee
Safi sana mkuu standard alone,,usisahau kunitag season five