Mmemsikia Captain John Chiligati? Amewaonya wakazi wa Kipawa kwamba, wasitumie fedha zao kufungulia kesi, bali waende wakajenge. Amewaeleza pia kwamba, watapoteza pesa kuwachangishia mawakili feki...wengine ndo kula yao hapa mjini.
Kwani Rais wetu yupo juu ya sheria? Kama IPTL na Serikali wana kesi mahakamani, Mhe Kikwete ni nani hadi aingilie uhuru wa mahakama?Jaji wa mahakama husika ndiye mwenye mamlaka ya kutangaza hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.