Recent content by Franki

  1. F

    Dr. Mwakyembe Vs. TAKUKURU

    Wakatae wana ubavu? Si unajua wabongo? Badala ya kuwasiliana na wanasheria (WAO), wakajiendea TAKUKURU kwa uoga wa kishamba!
  2. F

    Dr. Mwakyembe Vs. TAKUKURU

    Leo TAKUKURU Mwanza wanamfikisha mahakamani Fundi Bomba wa Dawasco ya Mwanza kwa rushwa ya laki moja. Upuuzi mtupu!
  3. F

    Dr. Mwakyembe Vs. TAKUKURU

    Mwakyembe kaza uzi. Ukilegeza, wanakumaliza. Wanatafuta 'loophole' yoyote ile ili wakuchafue. Kwa bahati nzuri kichwa chako kizuri...umeshawashtukia. Usikubali kuhojiwa, kama wanataka waende mahakamani. Tupo nyuma yako.
  4. F

    Hivi mkoje nyie?...!

    Ulimpata wapi huyo? Shuleni, Kijijini, Jeshini, Bar, Ofisini, kwenye daladala, au? Mbona wake zetu sisi ni poa tu. Wanatupa raha kinoma!
  5. F

    Lowassa Kuanzisha ABC Television Arusha

    Mwache aanzishe, tutasikiliza stesheni nyingine. Ya kwake NO!
  6. F

    Wapwa na mabinamu zangu nisaidieni kufanya uchaguzi

    Tumia FAMILIA. Kuna matangazo siku hizi ya kondomu aina hii. Wanasema hii ndiyo kondomu maalumu kwa wanandoa.
  7. F

    Mila za wahaya

    We mkurya nini? MILA, siyo mira.
  8. F

    KIWIRA na MCHUCHUMA: A Campaign To Reclaim...

    Jamani, tumwacheni apumzike, anywe whisky yake. Amefanya mazuri mengi tu! Haya jamani si maneno yangu, bali ni ya Mh.Richard Ndasa-Sumvwe
  9. F

    Tofauti kati ya mpenzi mrefu na mfupi

    Wa kwako mrefu au mfupi?
  10. F

    Wakazi wa Kipawa kulipwa fidia kwa sheria ya zamani

    Mmemsikia Captain John Chiligati? Amewaonya wakazi wa Kipawa kwamba, wasitumie fedha zao kufungulia kesi, bali waende wakajenge. Amewaeleza pia kwamba, watapoteza pesa kuwachangishia mawakili feki...wengine ndo kula yao hapa mjini.
  11. F

    Medical check up hii imenishangaza!

    Sasa ulitakaje? Akuangalie usoni halafu akwambie upo fiti? Medical Check-up ndo hiyo!
  12. F

    Yu Wapi Askari Mkama Sharp?

    Alishakufa. Alifariki mbona muda tu!
  13. F

    Kikwete aamuru mitambo ya IPTL iwashwe mara moja!

    Kwani Rais wetu yupo juu ya sheria? Kama IPTL na Serikali wana kesi mahakamani, Mhe Kikwete ni nani hadi aingilie uhuru wa mahakama?Jaji wa mahakama husika ndiye mwenye mamlaka ya kutangaza hivyo.
Back
Top Bottom