Samwel
JF-Expert Member
- Mar 25, 2007
- 224
- 8
Mezeni nyembe mnaomchukia Dr Mwakyembe H, hatuna cha kuwasaidia ....anajua anachokifanya heko Harrison! Mafisadi na mapandikizi wao nafasi yao inazidi kuwa finyu kila mtego wao utawanasa wao wenyewe.
wewe ndiye umeze nyembe.kabanwa sasa shoga yako na umma umeanza kuamini kuwa kumbe na yeye ni fisadi na phd yake aiendani na ujinga alionao