Recent content by Frank Ishengoma

  1. Frank Ishengoma

    JamiiForums Tanzania Abood ahudhuria vikao maalum na muhimu vya maendeleo ya wananchi

    OFISI YA MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI MHE. ABOOD AUDHULIA VIKAO MAALUM NA MUHIMU VYA MAENDELEO YA WANANCHI [emoji3502] RCC (REGIONAL CONSTRUCTIVE COMMITEE) Hiki ni Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa ambacho ukaliwa mara moja kwa mwaka kujadili maendeleo ya Wananchi kupitia utekelezaji wa...
  2. Frank Ishengoma

    JamiiForums Tanzania Maji ya mto yabomoa barabara kata ya Mazimbu, Morogoro Mjini

    MBUNGE wa Jimbo la Morogoro Mjini,Dkt. Abdulaziz Abood amefanya ziara ya kushutukiza kwenye Kata ya Mazimbu kwa lengo la kujionea athari ya mvua katika miundombinu ya barabara zilizopo katika Kata hiyo. Mhe. Mbunge ameshuhudia namna miundombinu ya barabara hizo zilivyoathiriwa hasa kipande cha...
  3. Frank Ishengoma

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wananchi wa Magadu wapelekewa huduma ya maji

    NEEMA YA MAJI KATA YA MAGADU Wananchi wa mitaa ya Kidondolo, Forkolend na Kididimo Kata ya Magadu kwa nyakati tofauti tofauti wameongea na kuishukuru Serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais. Samia S. Hassan kwa namna ambavyo imesikia kilio chao cha muda mrefu kuhusu maji. Akionge...
  4. Frank Ishengoma

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Abood ahaidi Tsh. Mil. 15,000,000/- zahanati kata Magadu

    OFISI YA MBUNGE JIMBO LA MOROGORO MJINI. NEEMA KATA YA MAGADU. MHE. ABOOD AHAIDI TSH. MIL. 15,000,000/- ZAHANATI KATA MAGADU Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Abdulaziz. M.Abood leo tarehe 13.01.2024 ameshiriki Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Kata ya Magadu akiwa ndiye Mgeni Rasmi...
  5. Frank Ishengoma

    JamiiForums Tanzania Mbunge Abood akabidhi magari mawili ya kusaidia kutoa huduma kwa wagongwa Morogoro Mjini

    Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mhe. Dkt. Abdulaziz M. Abood amefanya ziara kwenye Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro iliyopo kwenye jimbo lake. Mhe Mbunge amefika hospitalini hapo na kutembelea sehemu mbalimbali ili kuona utendaji kazi wa watoa huduma wa Hospital ya Rufaa ya mkoa wa...
  6. Frank Ishengoma

    JamiiForums Tanzania Mbunge, Abood afanya ziara hospital ya rufaa Morogoro

    MHE. ABDULAZIZ M. ABOOD (MB) ATAFANYA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA MOROGORO. Mhe. Abdulaziz M. Abood Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini anataraji kufanya Ziara tarehe 29.12.2023 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, Akiwa Hospitalini hapo Mhe. Mbunge atafanya yafuatayo:- 1). Kutembelea...
  7. Frank Ishengoma

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Abdul Aziz M. Abood anaendelea na ziara yake ya Kikazi kwenye Kata ya Mafiga na Kata ya Mbuyuni

    30/11/2023 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Dkt. Abdul Aziz M. Abood anaendelea na ziara yake ya Kikazi kwenye Kata ya MAFIGA na Kata ya MBUYUNI. Huu ni mwendelezo wa ziara yake inayopia mtaa kwa mtaa lengo la ziara hii ni kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia ufumbuzi. Kila Kata na...
  8. Frank Ishengoma

    JamiiForums Tanzania Mbunge Abood ameendelea na ziara zake za mtaa kwa mtaa

    29/11/2023 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Dkt. Abdul Aziz M. Abood ameendelea na ziara yake ya kikazi kwenye Kata ya KINGO, MAFIGA, MWEMBESONGO, MJI MPYA NA MAFISA. Huu ni mwendeleze wa ziara yake inayopita mtaa kwa mtaa lengo ikiwa ni kusikiliza kero za wananchi na kuzitolea majibu na...
  9. Frank Ishengoma

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Jimbo la Morogoro mjini, Abdul Aziz Abood amefanya ziara ya kikazi kwenye kata ya K/Ndege

    Mbunge wa jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Abdul Aziz M. Abood 28/11/2023 amefanya ziara ya kikazi kwenye Kata ya U/TAIFA NA K/NDEGE. Lengo ya ziara hii Mhe Mbunge kwanza ni kusikiliza kero za wananchi kwenye mitaa ya Kata hizo, pili ni kutatua na kutoa majibu pamoja na kuwaambia wananchi wa Kata...
  10. Frank Ishengoma

    JamiiForums Tanzania Mbunge Abood alaani vikali ukatili uliofanywa dhidi ya mama mjasiliamali

    MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI ALAANI VIKALI UKATILI ULIOFANYWA DHIDI YA MAMA MJASILIAMALI. Mhe. Abdulaziz M. Abood Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini mapema hii leo amefika wodini Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro alipolazwa Mama Bi Aziza Juma Mjasiliamali ndogondogo mara baada ya...
  11. Frank Ishengoma

    JamiiForums Tanzania Morogoro Mjini

    Mbunge wa jimbo la Morogoro Mjini Mhe Abdulaziz Mohammed Abood amekabidhi HUNDI ya Tsh Milioni moja (1,000,000) kwa umoja wa wanawake wa kanisa la Roman Catholic (RC) la Mt.Patrick lililoko Morogoro mjini kwaajili ya kusapoti mradi wa wanawake hao ambapo Mhe Abood alikuwa mgeni rasimi 29/10/2023
  12. Frank Ishengoma

    JamiiForums Tanzania Mbunge Abood azindua chama cha Wanawake Wajane Mkundi

    MbungeABOOD AZINDUA KIKUNDI CHA WANAWAKE WAJANE KATA YA MKUNDI SAMBAMBA NA KUSHIRIKI IBADA YA MISA STESHENI SDA CHURCH-KATA YA KINGOLWIRA TAREHE 28.10.2023. UZINDUZI WA CHAMA CHA WANAWAKE WAJANE KATA YA MKUNDI Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Abdulaziz M.Abood amezindua Rasmi Chama cha...
  13. Frank Ishengoma

    JamiiForums Tanzania Uzinduzi wa Chama cha Wanawake Wajane Kata ya Mkundi, Morogoro

    Mapokezi ya Mbunge wa jimbo la Morogoro Mjini Mhe Abdulaziz M Abood wakati wa uzinduzi wa chama cha wanawake Wajane kata ya mkundi ambapo Mhe mbunge ndo mgeni rasimi wa shughuri hiyo
  14. Frank Ishengoma

    JamiiForums Tanzania Mbunge Abood azungumza na Wananchi kata ya Chamwino mtaa wa Maelewano eneo la Pombe shop

    MHE. ABOOD AZUNGUMZA NA WANANCHI KATA YA CHAMWINO MTAA WA MAELEWANO ENEO LA POMBE SHOP . Mnamo Majira ya saa kumi tarehe 24.10.2023, Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Abdulaziz M. Abood amefika katika Kata ya Chamwino Mtaa wa Maelewano baada ya wito wa Wananchi takribani 70 kwa minajri ya...
Back
Top Bottom