Recent content by fogoh2

  1. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Nitawauliza matom-boy nikifika huko eti Nani Huyo aliyekuwa anatafakari(2026-1800)

    Aliyeelewa anitag
  2. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Super El nino 2026/2027.. El nino ya kihistoria

    Huku kina makinda hasa Yani miaka ya 90 kwao ni zama za kale
  3. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Super El nino 2026/2027.. El nino ya kihistoria

    Miaka ya 90 unategemea kuambiwa na wazee
  4. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Nyumba ya kuoangisha gharama yake ni sh ngapi na Kodi ni sh ngapinna faida yake ni sh ngapi na kwa muda Gani. ujinga
  5. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Amekua Amelambishwa asali amekua fala
  6. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Wapi katajwa
  7. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Achana nae anazingua
  8. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Uhakika??
  9. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Upo kimya nikajua ushalamba asali
  10. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Unapata faida Gani kudanganya au utatafuta attention ya watu
  11. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    NMB tangu asubuhi
  12. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kina CRDB yoyote ambaye tayari?
  13. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kwanini ufungwe kwani benki mi NMB pekeyao
  14. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mbona huku CRDB Bado?
  15. fogoh2

    JamiiForums Tanzania Mke wangu ananipenda sana!

    Utakuta hapo unaponunuza hiyo zawadi yeye analiwa na boda
Back
Top Bottom