Recent content by fogoh2

  1. fogoh2

    Hatimaye mwanamuziki Koffi Olomide mwenye miaka 69 amuoa mchumba wake wa miaka 20

    Hamuelewi nini wapo kwenye mapenzi zaidi ya miaka 20 ndio wamwamua kufunga ndoa
  2. fogoh2

    Wakanisa Mtaficha Wapi Hizi Aibu Duniani

    Wote washenzi tu huyo aliyeoa mtoto wa miaka 6 na hao wanaobaka huko marekani wote sawa
  3. fogoh2

    Boxer HD 150 wanaweza kumpa ubalozi

    Kuna watu walikua wanamsubiri dropoff point mjini dar
  4. fogoh2

    Boxer HD 150 wanaweza kumpa ubalozi

    Mchana hakuna shida
  5. fogoh2

    TANZIA Mbunge wa Viti Maalum, Halima Nasoor (CCM) afariki dunia

    Uwe unatumia akili sio kila kitu utafuniwe ukisoma utajua sio mbunge wa jimbo na ikiangalia taasisi ambapo amefariki akiwa anapatiwa matibabu utapata picha aina ya ugonjwa
  6. fogoh2

    Wakuu naombeni kazi au mwenye connection yakazi anae jua mahali flani sikosi. Mimi ni dereva, popote nafanya kazi

    Udereva sio kazi maana kila mtu anaendesha gari wasiojua labda hawajapenda tu
  7. fogoh2

    GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

    Kafanye post graduate diploma
  8. fogoh2

    PostGE2025 Ndoto za Mwigulu Nchemba kuwa Rais wa JMT zimezimwa rasmi leo kama ilivyotarajiwa

    Biteko kachemka wapi kivipi?? Kwani nafasi yake kapewa mtu mwingine tayari??
  9. fogoh2

    TANGANYIKA ina Mwanasheria Mkuu Mzanzibari na ZANZIBAR ina mwanasheria Mkuu Mzanzibari

    Mzanzibar ni mtanzania ila mtanganyika sio mzanzibar
  10. fogoh2

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mimi hawajakata kabisa
  11. fogoh2

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kaka vp mbona mzigo CRDB tangu saa nane mchana
Back
Top Bottom