Wasomi wetu bwana!sijui anafikiria nini!
Mbona hazungumzii katiba ambayo ni msingi wa yote?
Msomi anaonekana amekata tamaa sana,yuko defeated na hili tetemeko.....he is not a good captain.
Tuendelee Kusupport hivi hivi vilivyopo.....hakuna haja ya kukata tama. Siku zote ukombozi ni mgumu sana. Najua kwamba kila mtanzania anahamu ya mabadiliko, hali iliyopo CHADEMA ni nzuri kwetu kwani itatusaidia kujua makosa yaliyopo na kuyarekebisha, TUTAVUKA TU HIKI KIHUNZI.
Mmmh hii sasa kali.......ZZK ni mtoto wa watu? sisi watu wa pwani tumekusoma...Lakini mpeni sifa, mwisho wa siku atafukuzwa chadema, na atabaki peke yake
Huwezi kujadili misingi bila kujadili nidhamu ktk chama , ZZK ni mtovu wa nidhama,anatakiwa ashughulikiwe accordingly ili iwe fundisho kwa kila mwanachama.
Ben Saanane,
Let us do it Korean style, Mtela Mwampamba is a traitor to CHADEMA for all ages, a disgrace to human race, a despicable political careerist and trickster, human scum and worse than a dog.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.