Recent content by fixed_fangs

  1. fixed_fangs

    Mwendokasi ni mateso!!

    Ni shida....
  2. fixed_fangs

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Naunga mkono hoja ya promo ya utalii. Aidha, kuwatokomeza nyoka hawa kabisa, niamini mimi, madhara yake kwa binadamu na mazingira yake huenda yakawa makubwa kuliko ilivyo sasa.
  3. fixed_fangs

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Koboko ni kiboko sawa, ila kuna "chumvi" nyingi. Nimekutana nae aliyekomaa mara 2 porini. Mara moja nilitimua na hakunifukuza!
  4. fixed_fangs

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Hawaamini kuna kupona uking'atwa!
  5. fixed_fangs

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Unafaa kuongoza watalii.... Si kwa maelezo hayo murua!
  6. fixed_fangs

    Abdul Nondo afunguka kuhusu bodi ya mikopo

    ">miaka 18". Yes, ni mtu mzima! serikali iwawezeshe, kupitia kodi zetu na si jukumu tena la mzazi!
  7. fixed_fangs

    Nifanye nini ili kupunguza chuki yangu dhidi ya nyoka?

    Soma elimu ya ekolojia ya nyoka. Utagundua ni viunbe poa Sana! Anza na google
  8. fixed_fangs

    Kuna familia zina laana ya asili

    Ref Familia ya Kennedy, USA,...ilikuwa tajiri na ilikumbwa na mabalaa pia!
  9. fixed_fangs

    A living reincarnation, rebirth..!

    Asante.....
  10. fixed_fangs

    Kwanini wengi wanaopatana na wazazi na ndugu hudumaa kimaisha, wakati wanaowatupilia mbali ndugu huneemeka?

    Nadhani ni vizuri kutofautisha kati ya 1. "Nike"-style research, 2. scientific research na kitu kinaitwa 3. "anecdotal information". #1. Mtu yeyote anaweza kufanya, ila hitimisho lake huwa legelege. #2. Lazima hapa ufuate kanuni za kisayansi, na uwe mwasayansi #3. Hadithi tu - inaweza kuwa...
  11. fixed_fangs

    Hivi lengo la Mungu kuhusu zaka ni nini? Niko kanisani naambiwa nitoe kwenye mshahara 'net'

    For the first time nimeelewa somo. Wewe ni Kuhami - barikiwa sana
  12. fixed_fangs

    Simulizi ya Mpenzi Kiti cha Jini: Royal Bar Mwananyamala

    Kwa nini usitunge kitabu mkuu....? Tunacheka bure ilhali inaweza kulipiwa!
Back
Top Bottom