Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Mkuu huyo nyoka ameshiba. Nadhan unajua akimeza kitu nyoka anaweza kaa hadi wiki anafanya "digestion" kikiisha tu chakula tumbon huyu sungura hutomuona hapo tena.
Kuna zoo moja ipo Mbeya inaitwa IFISI (nadhan ni ya Waanglikani) kuna michatu mikubwa balaa ikishiba wala haina habar na sungura waliopo kwenye vyumba vyao tatizo njoo ikiwapata utaona mziki wake.
Unajua kilichowashangaza watu ni kuwa huyu nyoka ni wakufugwa na huwa wanajua saa ngapi ana njaa ndio wanamuwekea msosi kwa mshangao wao badala ya kumla akamfanya rafiki ilibidi baadae wautoe msosi huo wakauleta mwingine ukaliwa.
 
Taya la chini la nyoka sio solid kama letu linaachana katikati ili mlo uweze kuingia.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Ukifanikiwa kumuua Koboko kata kichwa kwanza,Daudi pichani alimzika koboko mdogo akifikiri keshamuua Koboko akakurupuka Daudi akakimbia.
wpid1833-DSCN0291.jpg
 
Koboko aliyekomaa huwa anagonga kuanzia mabegani na kichwani,hayo maeneo ni venom inasafiri haraka kwenda kwenye moyo.
Halafu unakuta kuna watu wana amini kuwa koboko anagonga kichwa tu na sio kwingine.
Ndio maana ukawasikia wanasema tembea na chungu cha uji wa moto
Sasa kwa siku hizi naona wangejiongeza tu wavae helmets kila saa
 
Black-mamba-on-the-ground.jpg

Koboko kama huyu alivyokomaa anauwezo wa kukugonga kichwani ndani ya sekunde mbili,na kama kuna miti karibu huwa anatembea huu ya miti huku akipambana.
 
151221143140-black-mambas-anti-poaching-south-africa-super-169.jpg

Hili eneo lina Koboko mkubwa aliyekomaa na huwa anawagonga wanyama mbalimbali na kuwauwa huyu Pongo ni mmojawapo.
 
Back
Top Bottom