Naomba ushauri HR ananitaka kimapenzi

Naomba ushauri HR ananitaka kimapenzi

Peleka malalamiko yako kwa boss wake (dg/gd) ana mamraka naye
 
Nenda ule mzigo uwo cha umgonge kwa kila style mpaka akome kuwasumbua vijana chipikizi ...mgonge uingie hadi chumvini.namarinda uyatoe ...akitoka hapo atalazwa hospital ya Rufaa.
 
Malalamiko kama haya yanafaa yatolewe na mtoto wa kike pekee....!!
.
.
Binafsi napendekeza uweke heshima ila kama hutaki mchawi hiden camera mrecord upuuzi wake......ili siku akianza figisu wewe umwambie utamwaga ugali,hapo utakuwa salama.
 
Duh mtihani mkubwa, hakuna mahali pa kuwakilisha tatizo lako hapo kazini au ndio lazima itapita kwa huyo kibibi?

Kama ni lazima upitie kwa huyo HR kuwakilisha shida unayopata, mi nakushauri ukusanye ushahidi wa kutosha kuwa anakutaka kimapenzi iwe ni sms, picha, audio au hata video then akianza kuzingua upande wa kukutisha kukuachisha kazi kachome kisheria tu, mfungulie kesi ya kutaka kukuachisha kazi kisa umemkataa.....atatulia tu na pia kazi utaendelea nayo labda kama yeye ndio top manyota kazini ndio antakusumbua maana private nako ni shida tofauti na serikalini.
 
Cha msingi piga kazi huku ukimtanguliza mungu mbele kumbuka mungu pekee ndio alikuwezesha kupata hiyo kazi na ndiye atakulinda udumu kwenye hiyo kazi.
 
Mkubalie halafu panga sehemu ya kukutana.
ila kabla ya kukutana mrekodi sauti kama mara kadhaa kisha ihifadhi sehemu salama ili isije kutokea.
panga kukutana nae sehemu ambayo siyo ya wazi sana ili nafasi ya kumrekodi ipatikane.
andaa gues/hotel/au sehemu ya kukutania kufanya vile vitu,hakikisha unapatafuta mwenyewe
fanya mpango wa kutega camera ndani na nje weka mtu atakae kurekodi kwa siri sana mkiingia eneo hilo.
muache awe wa kwanza kuvua nguo baada ya hapo mwambie kila kitu kuwa umeweka watu wamewafuatilia na amerekodiwa hivyo utaenda takukuru na kuwaonyesha video zote na kama atakusumbua au kukutisha mwambie video hizo utasambaza kazini,kwa familia yake na mpaka mitandaoni ili liwalo na liwe.
 
Habari wadau,

Ni wiki ya tatu tu tangu nipate kazi katika moja ya mashirika binafsi hapa nchini. Ni jambo la heri ukizingatia ndio kwanza nimemaliza chuo mwaka jana novemba.

Nilikuwa mwenye furaha sana kama mnavyo jua ( nilikuwa kama ndama aliyetoka zizini kwa mara ya kwanza). Ghafla faraja na furaha niliyokuwa nayo inapotea baada ya afisa muajiri (human resource) kuanza kunisumbua ananitaka kimapenzi (si vibaya), tatizo ni mtu mzima anayekaribia kustaafu (50+) yrs, ameolewa na mume wake ni boss mkubwa tu. Ni kama bibi yangu vile!

Hivi sasa amefikia pabaya, analeta figisu figisu hata kazi zangu haziendi. Ananiambia atahakikisha naiaga ofisi. Kazi naipenda haswa ila afya yangu naipenda zaidi . Nashindwa nifanye nini kwa sasa? Ushauri wenu ni wa msingi sana.

Hali hii inanifanya nashindwa kufikiri sawa sawa.

Vijana wa siku hizi kwa Mbwembwe bwana ... kamuulize Mchungaji/Sheick/Mama au Baba yako!
 
Mkubalie halafu panga sehemu ya kukutana.
ila kabla ya kukutana mrekodi sauti kama mara kadhaa kisha ihifadhi sehemu salama ili isije kutokea.
panga kukutana nae sehemu ambayo siyo ya wazi sana ili nafasi ya kumrekodi ipatikane.
andaa gues/hotel/au sehemu ya kukutania kufanya vile vitu,hakikisha unapatafuta mwenyewe
fanya mpango wa kutega camera ndani na nje weka mtu atakae kurekodi kwa siri sana mkiingia eneo hilo.
muache awe wa kwanza kuvua nguo baada ya hapo mwambie kila kitu kuwa umeweka watu wamewafuatilia na amerekodiwa hivyo utaenda takukuru na kuwaonyesha video zote na kama atakusumbua au kukutisha mwambie video hizo utasambaza kazini,kwa familia yake na mpaka mitandaoni ili liwalo na liwe.

Unatafutaje uadui na mtu kwa level hii? yote hayo ya nini!
 
Pole sana kwa majaribu, nakushauri mpuuze, fanya kilichokupeleka.

Mambo yakizidi, basi unaweza kuwasiliana na viongozi wa chama cha wafanyakazi kinachokuwakilisha, utawaeleza changamoto hiyo na vitisho unavyovipata huku ukiwa na ushahidi hata wa meseji.

Hao viongozi watajua mbinu za kuwasiliana na uongozi wa shirika unalofanyia kazi. Lakini pia itaweka tahadhari juu ya mpango wa kukuharibia kazi kwa mambo binafsi na kukufanya kuwa salama zaidi.

Tahadhari: usithubutu kutembea na huyo mama na kama umeanza naye, acha.

Kila la heri.
Huu Ushauri sio mzuri hata kidogo. Yaani kabla hajapiga hatua sita huyo mama atakuwa kaisha ambiwa
 
Katika vitu vya kuepukwa kama ukoma nikushiriki kimapenzi sehemu ya kazi pasipo na malengo ya kuoana hapo baadae, kama anakuoa mpe ila kama ni mpita njia, muepuke kama ukoma
 
aisee nilivyosoma heading nikajua ni dame kumbe men!? mkuu we pambana na hali yako maana hamna namna sasa
 
Salama kondo znahusika.....maisha mafupi haya piga pumbu wewee mbwelaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom