Recent content by Fisher_8

  1. Fisher_8

    Niliwahi Kushauri hapa kwa kuja na Thread kuwa Ndugu msipende Kusafiri pamoja katika Gari / Basi Moja nikapuuzwa

    Imenikumbusha pia ile ya yule mtoto aliyepoteza wazazi na wadogo zake wote kwa pamoja.
  2. Fisher_8

    Kisa cha kweli: Nimemfumania mke jana usiku

    Ikipendeza badili hiyo avatar. unajua maana ya hiyo avatar uliyoweka? Matendo yako hayaendani nayo hyo avatar ni kuiabisha hiyo taasisi.
  3. Fisher_8

    Mwenye video ya 'Sitaki Kazi' ya Niki wa Pili naomba anisaidie

    Google (Au ni fumbo hili)
  4. Fisher_8

    Nafikiri kubadili jina; nitawavunjia heshima wazazi nikifanya hivyo?

    Salamu kwenu, Hivi wakuu itakuwa nawavunjia heshima wazazi nikiamua kubadili jina? Mzee alikwishaga tangulia mbele za haki, kabaki mama tu. Kipindi cha zamani hata wakati baba yupo mama aliwahi nigusia kuwa jina nililopewa yeye wala alikuwa hakilipenda ila ni vile mzee alishalipangaga hata...
  5. Fisher_8

    Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

    Nakumbuka mzee Chuma amri ilikuwa ni moja no kuchekeana kamata jambazi piga risasi. Ukifata sheria ni umkamate umpeleke mahakamani.
  6. Fisher_8

    Ushakutana na changamoto kama hii?

    Good morning JF! Bado huna ajira. Una siku ya pili huna hata mia mbovu tangu Jumapili. Muda wa kodi umefika unadaiwa. Asubuhi ya leo ni simu kutoka kwa mama yako huko kwenu ndio inakuamsha kukupasha habari kuna changamoto imejitokeza inakupasa uende, acha tu kukosa nauli ya kukufikisha huko...
  7. Fisher_8

    Dah! Hivi kuna mtu hana uadui kweli?

    Kuna wakati inabidi kuonyeaha sura ya kazi kama wanaleta mazoea mazoea.
  8. Fisher_8

    Msaada: Nina udomo zege usiopimika

    Kuna wengine maneno huwa mengi nyuma ya keyboard tu. Ukiwaface yote yanayeyuka. Sent using Tapatalk
  9. Fisher_8

    Nimekata tamaa, nimepigika, nimeteswa, nimedharauliwa, nimeumizwa, sasa basi!

    Asipoelewa na hapa basi tena. Sent from my Nokia 2 using Tapatalk
  10. Fisher_8

    Rayvanny wa 2011

    Huku tukiendelea kuchukua tahadhari zidi ya COVID-19. Tutafteni sana pesa... Nimepita youtube leo nikabahatika kuiona video ya msanii wa WCB Rayvanny. Nikakumbuka huwa tunasemaga ukitoboa then ukabahatika kupitia picha zako za nyuma unaweza usiwalaumu hata chembe manzi waliokuwa wanakupiga...
  11. Fisher_8

    JamiiForums Usiku wa manane

    Mida ya masingo.... Sent from my Nokia 2 using Tapatalk
  12. Fisher_8

    JamiiForums Usiku wa manane

    Ciao ragazzi? Sent from my Nokia 2 using Tapatalk
  13. Fisher_8

    Jinsi Kundi la G7 lilivotafuna Mademu wa Dar (mpaka sasa hivi wanatafuna) zijue Mbinu zao

    Kwani mnahofia nini kumtaja? Sent from my Nokia 2 using Tapatalk
Back
Top Bottom