Niliwahi Kushauri hapa kwa kuja na Thread kuwa Ndugu msipende Kusafiri pamoja katika Gari / Basi Moja nikapuuzwa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,647
109,034
Najua kuwa Kifo hakichagui, ila Kupunguza athari yake Kijamii inawezekana kama tu ukiwa makini.

Hivi kwa mfano Ndugu mpo 30 mnatoka Dar es Salaam kwenda Shughulini Mkoani Dodoma kwanini nyote mpande Gari / Moja?

Kwani mkijigawa Watu Watano Watano mpande Gari / Basi tofauti tofauti kwenda huko muendako ili hata kama ikitokea Ajali basi msiathirike Wote na Wengine wabakie kuendelea na Maisha na Kutunza Familia za Walioondoka?

GENTAMYCINE miaka ya nyuma hapa hapa JamiiForums nilianzisha Uzi ( Thread ) ya Kupinga Ndugu wengi Kusafiri pamoja kwenda Mikoani / Safarini ili kuepusha madhara Makubwa kama yakitokea bahati mbaya sikueleweka vyema na sasa yale niliyoyakemea yanaanza Kutokea.

Bahati nzuri nina Ndugu zangu hapa JamiiForums wakiongozwa na Mdogo wangu kabisa wa damu steveachi huu Utaratibu wangu Kaka ( Ndugu ) yao GENTAMYCINE wanaujua kwani tukiwa tunaenda Safari yoyote ile hata kama nikiwa hapa hapa Dar es Salaam au Morogoro ( Makao Makuu yetu ya Ukoo ) huwa sipendi Kusafiri na Ndugu wengi katika Gari / Basi moja na badala yake huwa Nawagawa ili hata kama likitokea la kutokea basi tusiondoke Wote angalau wengine wabaki.

Ajali ya Jana iliyoua Ndugu Wanne wa Familia Moja waliokuwa wakienda Msibani imeniumiza mno na kunifanya nikumbuke Ajali zingine za muundo huu huu na kuna moja ilitokea Bahari Beach ambayo kabla ya Watoto ( Ndugu ) hao Kuondoka Kwao GENTAMYCINE niliwakatalia hadi Kugombana na Mmoja wao kwa Kuwazuia wasipande Gari moja kwakuwa aliyekuwa akiwaendesha alikuwa ameshaanza Kulewa na baada ya dakika 30 nikapigiwa Simu kuwa kuna Ajali Mbaya imetokea na nilipoenda nikakuta ni wale wale Ndugu Sita ( 6 ) na Wote walifia pale pale baada ya Kugonga Mti mkubwa na leo imekuwa ni Historia.

Imagine Ajali Mbaya iliyotokea Jana imechukua wana Ndugu Wanne ( 4 ) na Kuwaacha Wazazi Wao wenye Umri wa miaka zaidi ya 85 ambao ndiyo walikuwa Wakiwategemea kwa kila Kitu.

Kila nikijaribu Kuvaa Viatu vya hawa Wazazi naona havinitoshi sana sana Huruma ( Huzuni ) juu yao inanipata huku kwa mbali Machozi yakinilenga.

Namalizia kwa Kusisitiza kuwa simaanishi kama Kusafiri pamoja ( kwa Uwingi wenu ) kama Ndugu ni Kosa au Vibaya ila kama Binadamu na Mtu wa kuona mbali naona haina Afya sana na badala yake Tahadhari ikichukuliwa kwa Ndugu Kujigawa kuna Faida nyingi kwa Familia zao na Ustawi wa Koo zao na Vizazi vyao.

Naziombea Roho za Marehemu ( Ndugu ) waliofariki Ajalini jana Mkoani Pwani Mwenyezi Mungu azilaze Roho zao mahala pema peponi.

Poleni Wafiwa, Ndugu, Jamaa na Marafiki kwa huu Msiba mkubwa. Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa Jina lake Lihimidiwe.
 
Najua kuwa Kifo hakichagui, ila Kupunguza athari yake Kijamii inawezekana kama tu ukiwa makini.

Hivi kwa mfano Ndugu mpo 30 mnatoka Dar es Salaam kwenda Shughulini Mkoani Dodoma kwanini nyote mpande Gari / Moja?

Kwani mkijigawa Watu Watano Watano mpande Gari / Basi tofauti tofauti kwenda huko muendako ili hata kama ikitokea Ajali basi msiathirike Wote na Wengine wabakie kuendelea na Maisha na Kutunza Familia za Walioondoka?

GENTAMYCINE miaka ya nyuma hapa hapa JamiiForums nilianzisha Uzi ( Thread ) ya Kupinga Ndugu wengi Kusafiri pamoja kwenda Mikoani / Safarini ili kuepusha madhara Makubwa kama yakitokea bahati mbaya sikueleweka vyema na sasa yale niliyoyakemea yanaanza Kutokea.

Bahati nzuri nina Ndugu zangu hapa JamiiForums wakiongozwa na Mdogo wangu kabisa wa damu steveachi huu Utaratibu wangu Kaka ( Ndugu ) yao GENTAMYCINE wanaujua kwani tukiwa tunaenda Safari yoyote ile hata kama nikiwa hapa hapa Dar es Salaam au Morogoro ( Makao Makuu yetu ya Ukoo ) huwa sipendi Kusafiri na Ndugu wengi katika Gari / Basi moja na badala yake huwa Nawagawa ili hata kama likitokea la kutokea basi tusiondoke Wote angalau wengine wabaki.

Ajali ya Jana iliyoua Ndugu Wanne wa Familia Moja waliokuwa wakienda Msibani imeniumiza mno na kunifanya nikumbuke Ajali zingine za muundo huu huu na kuna moja ilitokea Bahari Beach ambayo kabla ya Watoto ( Ndugu ) hao Kuondoka Kwao GENTAMYCINE niliwakatalia hadi Kugombana na Mmoja wao kwa Kuwazuia wasipande Gari moja kwakuwa aliyekuwa akiwaendesha alikuwa ameshaanza Kulewa na baada ya dakika 30 nikapigiwa Simu kuwa kuna Ajali Mbaya imetokea na nilipoenda nikakuta ni wale wale Ndugu Sita ( 6 ) na Wote walifia pale pale baada ya Kugonga Mti mkubwa na leo imekuwa ni Historia.

Imagine Ajali Mbaya iliyotokea Jana imechukua wana Ndugu Wanne ( 4 ) na Kuwaacha Wazazi Wao wenye Umri wa miaka zaidi ya 85 ambao ndiyo walikuwa Wakiwategemea kwa kila Kitu.

Kila nikijaribu Kuvaa Viatu vya hawa Wazazi naona havinitoshi sana sana Huruma ( Huzuni ) juu yao inanipata huku kwa mbali Machozi yakinilenga.

Namalizia kwa Kusisitiza kuwa simaanishi kama Kusafiri pamoja ( kwa Uwingi wenu ) kama Ndugu ni Kosa au Vibaya ila kama Binadamu na Mtu wa kuona mbali naona haina Afya sana na badala yake Tahadhari ikichukuliwa kwa Ndugu Kujigawa kuna Faida nyingi kwa Familia zao na Ustawi wa Koo zao na Vizazi vyao.

Naziombea Roho za Marehemu ( Ndugu ) waliofariki Ajalini jana Mkoani Pwani Mwenyezi Mungu azilaze Roho zao mahala pema peponi.

Poleni Wafiwa, Ndugu, Jamaa na Marafiki kwa huu Msiba mkubwa. Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa Jina lake Lihimidiwe.
Hakika bloody,hadi ndugu wakakutunga jina la Mjeshi,manake tulikuwa tunashangaa tu ghafla umetokea kama mzuka vile,hakuna uliyemtaarifu kuwa unakuja home.

Babu yetu jembe sana R.I.P to him anakupokea kwa bashasha zote.
 
Utaambia Imani za kishirikina na watu wenye elimu ya kukariri ila wanakufa Kwa mkupuo 🥲
 
Najua kuwa Kifo hakichagui, ila Kupunguza athari yake Kijamii inawezekana kama tu ukiwa makini.

Hivi kwa mfano Ndugu mpo 30 mnatoka Dar es Salaam kwenda Shughulini Mkoani Dodoma kwanini nyote mpande Gari / Moja?

Kwani mkijigawa Watu Watano Watano mpande Gari / Basi tofauti tofauti kwenda huko muendako ili hata kama ikitokea Ajali basi msiathirike Wote na Wengine wabakie kuendelea na Maisha na Kutunza Familia za Walioondoka?

GENTAMYCINE miaka ya nyuma hapa hapa JamiiForums nilianzisha Uzi ( Thread ) ya Kupinga Ndugu wengi Kusafiri pamoja kwenda Mikoani / Safarini ili kuepusha madhara Makubwa kama yakitokea bahati mbaya sikueleweka vyema na sasa yale niliyoyakemea yanaanza Kutokea.

Bahati nzuri nina Ndugu zangu hapa JamiiForums wakiongozwa na Mdogo wangu kabisa wa damu steveachi huu Utaratibu wangu Kaka ( Ndugu ) yao GENTAMYCINE wanaujua kwani tukiwa tunaenda Safari yoyote ile hata kama nikiwa hapa hapa Dar es Salaam au Morogoro ( Makao Makuu yetu ya Ukoo ) huwa sipendi Kusafiri na Ndugu wengi katika Gari / Basi moja na badala yake huwa Nawagawa ili hata kama likitokea la kutokea basi tusiondoke Wote angalau wengine wabaki.

Ajali ya Jana iliyoua Ndugu Wanne wa Familia Moja waliokuwa wakienda Msibani imeniumiza mno na kunifanya nikumbuke Ajali zingine za muundo huu huu na kuna moja ilitokea Bahari Beach ambayo kabla ya Watoto ( Ndugu ) hao Kuondoka Kwao GENTAMYCINE niliwakatalia hadi Kugombana na Mmoja wao kwa Kuwazuia wasipande Gari moja kwakuwa aliyekuwa akiwaendesha alikuwa ameshaanza Kulewa na baada ya dakika 30 nikapigiwa Simu kuwa kuna Ajali Mbaya imetokea na nilipoenda nikakuta ni wale wale Ndugu Sita ( 6 ) na Wote walifia pale pale baada ya Kugonga Mti mkubwa na leo imekuwa ni Historia.

Imagine Ajali Mbaya iliyotokea Jana imechukua wana Ndugu Wanne ( 4 ) na Kuwaacha Wazazi Wao wenye Umri wa miaka zaidi ya 85 ambao ndiyo walikuwa Wakiwategemea kwa kila Kitu.

Kila nikijaribu Kuvaa Viatu vya hawa Wazazi naona havinitoshi sana sana Huruma ( Huzuni ) juu yao inanipata huku kwa mbali Machozi yakinilenga.

Namalizia kwa Kusisitiza kuwa simaanishi kama Kusafiri pamoja ( kwa Uwingi wenu ) kama Ndugu ni Kosa au Vibaya ila kama Binadamu na Mtu wa kuona mbali naona haina Afya sana na badala yake Tahadhari ikichukuliwa kwa Ndugu Kujigawa kuna Faida nyingi kwa Familia zao na Ustawi wa Koo zao na Vizazi vyao.

Naziombea Roho za Marehemu ( Ndugu ) waliofariki Ajalini jana Mkoani Pwani Mwenyezi Mungu azilaze Roho zao mahala pema peponi.

Poleni Wafiwa, Ndugu, Jamaa na Marafiki kwa huu Msiba mkubwa. Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa Jina lake Lihimidiwe.
Uko sahihi hata Mimi Huwa nazingatia sana hili ila watu hawajui hatari yake.
 
Moja ya thread nzuri sana kwa leo,

Lakini pia umasikini wa akili na fikira finyu unachangia utakuta watu wanakodi Coaster iwapeleke mahali huku wanamtaka dereva aendeshe kwa vibe halafu naye anajikuta anaimiliki barabara.hatari sana .

Ajali haina kinga ndiyo. Lakini zingine zinaepukika.
 
Ni mambo ya ajabu kabisa ,ni jambo la maana linapuuziwa tu.
Kuna siku ndugu zangu saba mtu na mkewe mkwewe na watoto watatu nandugu mwingine wameenda musoma na gari nikawaambia nyie ,nyie hiyo hatari. Bahati nzuri shetani alilala siku hiyo
 
Hakika bloody,hadi ndugu wakakutunga jina la Mjeshi,manake tulikuwa tunashangaa tu ghafla umetokea kama mzuka vile,hakuna uliyemtaarifu kuwa unakuja home.

Babu yetu jembe sana R.I.P to him anakupokea kwa bashasha zote.
Hakika Mdogo wangu na jina la Utani la Mjeshi likashika Kasi hadi hii leo.

Babu yetu alitupenda mno Wajukuu zake na ninachofurahi hasa tumerithi Kwake Upendo, Utu, Umoja, Akili zake Kubwa na Mimi ndiyo nimeurithi ule Ukali wake, kutolea Ujinga na Upumbavu, kuwa mwana CCM japo tulipishana nae tu katika Mpira ambapo Yeye alikuwa ni Yanga SC lia lia na Mjukuu wake Mimi kuwa ni mwana Simba SC kindakindaki.

Na katika Historia yake Kubwa Marehemu Babu yetu Mpendwa ndiyo alikuwa Mwalimu wa Kwanza Mwafrika Kukufunzi Chuo cha IDM ( sasa Mzumbe University ) enzi za Wakoloni Waingereza akitokea Masomoni huko huko nchini Uingereza.

I'm proud of him. Rest In Peace Babu.
 
Najua kuwa Kifo hakichagui, ila Kupunguza athari yake Kijamii inawezekana kama tu ukiwa makini.

Hivi kwa mfano Ndugu mpo 30 mnatoka Dar es Salaam kwenda Shughulini Mkoani Dodoma kwanini nyote mpande Gari / Moja?

Kwani mkijigawa Watu Watano Watano mpande Gari / Basi tofauti tofauti kwenda huko muendako ili hata kama ikitokea Ajali basi msiathirike Wote na Wengine wabakie kuendelea na Maisha na Kutunza Familia za Walioondoka?

GENTAMYCINE miaka ya nyuma hapa hapa JamiiForums nilianzisha Uzi ( Thread ) ya Kupinga Ndugu wengi Kusafiri pamoja kwenda Mikoani / Safarini ili kuepusha madhara Makubwa kama yakitokea bahati mbaya sikueleweka vyema na sasa yale niliyoyakemea yanaanza Kutokea.

Bahati nzuri nina Ndugu zangu hapa JamiiForums wakiongozwa na Mdogo wangu kabisa wa damu steveachi huu Utaratibu wangu Kaka ( Ndugu ) yao GENTAMYCINE wanaujua kwani tukiwa tunaenda Safari yoyote ile hata kama nikiwa hapa hapa Dar es Salaam au Morogoro ( Makao Makuu yetu ya Ukoo ) huwa sipendi Kusafiri na Ndugu wengi katika Gari / Basi moja na badala yake huwa Nawagawa ili hata kama likitokea la kutokea basi tusiondoke Wote angalau wengine wabaki.

Ajali ya Jana iliyoua Ndugu Wanne wa Familia Moja waliokuwa wakienda Msibani imeniumiza mno na kunifanya nikumbuke Ajali zingine za muundo huu huu na kuna moja ilitokea Bahari Beach ambayo kabla ya Watoto ( Ndugu ) hao Kuondoka Kwao GENTAMYCINE niliwakatalia hadi Kugombana na Mmoja wao kwa Kuwazuia wasipande Gari moja kwakuwa aliyekuwa akiwaendesha alikuwa ameshaanza Kulewa na baada ya dakika 30 nikapigiwa Simu kuwa kuna Ajali Mbaya imetokea na nilipoenda nikakuta ni wale wale Ndugu Sita ( 6 ) na Wote walifia pale pale baada ya Kugonga Mti mkubwa na leo imekuwa ni Historia.

Imagine Ajali Mbaya iliyotokea Jana imechukua wana Ndugu Wanne ( 4 ) na Kuwaacha Wazazi Wao wenye Umri wa miaka zaidi ya 85 ambao ndiyo walikuwa Wakiwategemea kwa kila Kitu.

Kila nikijaribu Kuvaa Viatu vya hawa Wazazi naona havinitoshi sana sana Huruma ( Huzuni ) juu yao inanipata huku kwa mbali Machozi yakinilenga.

Namalizia kwa Kusisitiza kuwa simaanishi kama Kusafiri pamoja ( kwa Uwingi wenu ) kama Ndugu ni Kosa au Vibaya ila kama Binadamu na Mtu wa kuona mbali naona haina Afya sana na badala yake Tahadhari ikichukuliwa kwa Ndugu Kujigawa kuna Faida nyingi kwa Familia zao na Ustawi wa Koo zao na Vizazi vyao.

Naziombea Roho za Marehemu ( Ndugu ) waliofariki Ajalini jana Mkoani Pwani Mwenyezi Mungu azilaze Roho zao mahala pema peponi.

Poleni Wafiwa, Ndugu, Jamaa na Marafiki kwa huu Msiba mkubwa. Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa Jina lake Lihimidiwe.
Haya mambo yanafikirisha sana jamani. tunashukuru kwa ushauri na kutukumbusha tena mkuu. Tuziombee roho za marehemu zipumzike kwa amani
 
Najua kuwa Kifo hakichagui, ila Kupunguza athari yake Kijamii inawezekana kama tu ukiwa makini.

Hivi kwa mfano Ndugu mpo 30 mnatoka Dar es Salaam kwenda Shughulini Mkoani Dodoma kwanini nyote mpande Gari / Moja?

Kwani mkijigawa Watu Watano Watano mpande Gari / Basi tofauti tofauti kwenda huko muendako ili hata kama ikitokea Ajali basi msiathirike Wote na Wengine wabakie kuendelea na Maisha na Kutunza Familia za Walioondoka?

GENTAMYCINE miaka ya nyuma hapa hapa JamiiForums nilianzisha Uzi ( Thread ) ya Kupinga Ndugu wengi Kusafiri pamoja kwenda Mikoani / Safarini ili kuepusha madhara Makubwa kama yakitokea bahati mbaya sikueleweka vyema na sasa yale niliyoyakemea yanaanza Kutokea.

Bahati nzuri nina Ndugu zangu hapa JamiiForums wakiongozwa na Mdogo wangu kabisa wa damu steveachi huu Utaratibu wangu Kaka ( Ndugu ) yao GENTAMYCINE wanaujua kwani tukiwa tunaenda Safari yoyote ile hata kama nikiwa hapa hapa Dar es Salaam au Morogoro ( Makao Makuu yetu ya Ukoo ) huwa sipendi Kusafiri na Ndugu wengi katika Gari / Basi moja na badala yake huwa Nawagawa ili hata kama likitokea la kutokea basi tusiondoke Wote angalau wengine wabaki.

Ajali ya Jana iliyoua Ndugu Wanne wa Familia Moja waliokuwa wakienda Msibani imeniumiza mno na kunifanya nikumbuke Ajali zingine za muundo huu huu na kuna moja ilitokea Bahari Beach ambayo kabla ya Watoto ( Ndugu ) hao Kuondoka Kwao GENTAMYCINE niliwakatalia hadi Kugombana na Mmoja wao kwa Kuwazuia wasipande Gari moja kwakuwa aliyekuwa akiwaendesha alikuwa ameshaanza Kulewa na baada ya dakika 30 nikapigiwa Simu kuwa kuna Ajali Mbaya imetokea na nilipoenda nikakuta ni wale wale Ndugu Sita ( 6 ) na Wote walifia pale pale baada ya Kugonga Mti mkubwa na leo imekuwa ni Historia.

Imagine Ajali Mbaya iliyotokea Jana imechukua wana Ndugu Wanne ( 4 ) na Kuwaacha Wazazi Wao wenye Umri wa miaka zaidi ya 85 ambao ndiyo walikuwa Wakiwategemea kwa kila Kitu.

Kila nikijaribu Kuvaa Viatu vya hawa Wazazi naona havinitoshi sana sana Huruma ( Huzuni ) juu yao inanipata huku kwa mbali Machozi yakinilenga.

Namalizia kwa Kusisitiza kuwa simaanishi kama Kusafiri pamoja ( kwa Uwingi wenu ) kama Ndugu ni Kosa au Vibaya ila kama Binadamu na Mtu wa kuona mbali naona haina Afya sana na badala yake Tahadhari ikichukuliwa kwa Ndugu Kujigawa kuna Faida nyingi kwa Familia zao na Ustawi wa Koo zao na Vizazi vyao.

Naziombea Roho za Marehemu ( Ndugu ) waliofariki Ajalini jana Mkoani Pwani Mwenyezi Mungu azilaze Roho zao mahala pema peponi.

Poleni Wafiwa, Ndugu, Jamaa na Marafiki kwa huu Msiba mkubwa. Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa Jina lake Lihimidiwe.
Kabisa sema binadamu huwa tunajisahau
.Nakumbuka wakato tunakua kulikuwa na jirani mmoja ilikuwa ikitika wakati wa likizo wa kwenda kwao ,,basi anaanza baba na mtoto mmoja au wawili
Wakishafika na mama naye anaanza safari ma watoto waliobaki. Miaka yao yote ilikuwa ndio desturi yao.

Unachosema ni sahihi hata kama ajali inatokea basi wachache watapona,,,.

Daaah Mungu awatie moyo hao wazazi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom