Fisher_8
Member
- Jul 26, 2019
- 80
- 224
Huku tukiendelea kuchukua tahadhari zidi ya COVID-19. Tutafteni sana pesa...
Nimepita youtube leo nikabahatika kuiona video ya msanii wa WCB Rayvanny. Nikakumbuka huwa tunasemaga ukitoboa then ukabahatika kupitia picha zako za nyuma unaweza usiwalaumu hata chembe manzi waliokuwa wanakupiga vibuti.
Inahamasisha tuendelee kupambana aisee, yajayo yanaweza kuwa yanafurahisha.
Sent from my Nokia 2 using Tapatalk
Nimepita youtube leo nikabahatika kuiona video ya msanii wa WCB Rayvanny. Nikakumbuka huwa tunasemaga ukitoboa then ukabahatika kupitia picha zako za nyuma unaweza usiwalaumu hata chembe manzi waliokuwa wanakupiga vibuti.
Inahamasisha tuendelee kupambana aisee, yajayo yanaweza kuwa yanafurahisha.
Sent from my Nokia 2 using Tapatalk