Natarajia kubadilika positively, zaidi ya hapo. Kwanza hii kesho kutwa itakuwa mara yangu ya kwanza kupiga kura na ni muhimu sana kwangu. Bora nikashinde kwenye foleni siku nzima
Baada ya kuapishwa Rais wa awamu ya tano au baada ya Jumatano 28 October 2015 inawezekana kakupungua au kuisha kabisa kwa mambo kama vile:-
1. Chuki binafsi na Baadhi ya matusi yaliyotokana na siasa
2. Kupungua au kuacha kuingia mitandaoni kusoma habari (kwa baadhi ya watu)
3. Kupungua kununua...
Subiria tumalizie siku chache zilizobakia. Hizo habari zako zitakuja baada ya jumatano wiki ijayo. Watu tunashinda mitandaoni, kununua magazeti kwa wingi na kuyasoma, na kufanya discussions kibao zinazohusu nchi yetu na uchaguzi tu!. Hayo mambo ya mapenzi baadae, maana huwezi kufanya mapenzi...
utamlipa Sh Ngapi?. Alafu mbona una complicate mambo ndg yangu!. Nenda mtakutana huko huko ila haya masharti hayafai kwa mtu kama wewe. Hakuna kiumbe kilichokamilika vitabia vingine mtarekebishana ndani ya geto mdogo mdogo, mbona hata Kanisani au Msikitini watu wanaingia hata Walevi, Wazinzi...
Kuna mwngne yupo dodoma tena anajiita askofu wa kanisa X, house girl ndiye anafua hizo nguo za ndani zote na kutandika kitanda lakini mke wake yupoyupo tu anajifanya bosi. House girl mwenyewe ni mtu mzima umri miaka 21+ na mwili wake una umbo kubwa tu, shida sana!. Nyie wanawake jitambueni ndoa...
Ujinga ni kuwafokea watoto kwakuwa hawana akili, wadokozi, wana viburi, wezi, waongo, walaghai, n.k Wakati ukijua wewe tangu uzaliwe umekuwa Mwana CCM unasahau kuwa watoto wamerithi tabia yako ya U-ccm!! ha ha haaaaaaaa aaah!
Mwaka jana mwezi wa 6 nilipita huko ileje, yaani hakueleweki. Kumbe mna wagombea? m nikadhani hilo jimbo halina viongoz wowote, maendeleo zero na sijawahi kusikia mbunge akielezea shda za huko akiwa bungeni. Jitahidini kuchanganya Viongozi wenu na wa upinzani mtapata maendelea, serikal inahitaj...
Jichunguze vitabia vidogo vidogo ulivyonavyo, inawezekana ww unaviona vidogo wenzio wanavichukulia tofauti. Mfano: unashabikia chama 'X' cha mpira ama siasa ambapo mwenzako anakuwa hatak kabisa kusikia hayo, pia weng mnaotoka chuo mnajisikia sana mkiwa mtaan mnapenda kujiweka mbali na wengne...
Kama akipita nahisi wawekezaji toka nje watakuwa wanaogopa kuja kuwekeza, na mawaziri atakao wateua wakiharibu kazi ataweza kuwapiga vibao hadharani. Mawaziri na watendaji atakaowateua wajiandae kupigwa vibao mbele ya familia zao endapo watafanya madudu kazini!, namtakia kila raheli endapo atapita
Umetisha baba fanueli. Na mm nafikisha salam kwa yule kiumbe ambae kila akisikia nmefika nyumban kusalimia wazazi nawe unakuja home kunitizama sura yangu japo nakukimbia kila mara maana najua umeolewa naogopa utanitia doa mtaani kwetu, salam zako zikufikie ila acha mazoea na vijana ambao bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.