Pateni picha mnaamka asubuhi mnaangalia nje mnakuta hakupo!
Hata siku moja usisahau .... Chupi hata ichakae vipi, huwezi kuigeuza dekio.
Pateni picha mnaamka asubuhi mnaangalia nje mnakuta hakupo!
Waislamu tunaswali ndugu yangu kabla ya kufanya Mapenzi. "" Ewe mola wetu, tuepeshe na shetani na tuepushe na Shetani katika kile utakacho turuzuku".
Na hata uwe unapenda vipi kumenya viungo vya mboga lakini huwezi kumenya pilipili au bamia