Mkeo hana utu kabisa.Kibinadamu hata kama ni housegirl huwez mpa nguo za ndani afue.Kama anafanya hivo nnaimani kuna makubwa zaidi ya hayo anamfanyia dada wa watu.Kaa nae umkanye tena usimame kama mume asiyependa kuendekeza ujinga kwenye familia
Wewe mwenyewe ni dhaifu yaani ukimuuliza kitu unakoromewa unanyamaza kumkomoa mke Wa namna hiyo ni kutembea na huyo maid maana mkeo ni mpumbavu ndio wale adi kitanda anatandika beki tatu yeye kitu anachoona cha kufanya yeye tu ni kukupa papuchu na jua ukijifanya mkali unasusiwa kila kitu
Kuna mwngne yupo dodoma tena anajiita askofu wa kanisa X, house girl ndiye anafua hizo nguo za ndani zote na kutandika kitanda lakini mke wake yupoyupo tu anajifanya bosi. House girl mwenyewe ni mtu mzima umri miaka 21+ na mwili wake una umbo kubwa tu, shida sana!. Nyie wanawake jitambueni ndoa zitawashinda sana miaka hii msipojirekebisha
Ndoa sio laana kwani ni kitu kilichobarikiwa na mungu wetu,ila sisi wanadamu huwa tunamkaribisha shetani katika maisha yetu na hapo ndio inapokuwa tabu,shetani huwa hapendi kuona watu waishi vizuri ktk ndoa zao na huwa anajitahidi sana kutaka kugawa wanandoa kwani kwa kufanya hivyo anakuwa ameleta madhara ktk familia yote hadi watoto,la msingi pia ni kuiombea ndoa yako kwa mungu ili azidi kuilinda na shetani asipate nafasi.Kwani sisi wenyewe ni viumbe wadhaifu hivyo ni muhimu sana kuhakikisha mungu anakuwa kiongozi wa nyumba yako,kama wanavyosema usipomkaribisha nae atakuacha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.