mwisho wa siku tutaaambiwa waskristo ni wabaguzi tukiomba kuanzisha bucha zetu. maana halisi ya uwislam ni kuleta mtengano na vurugu ili watu wasifike mbinguni. wanaleta mambo ya kujiisolate from others.
UJinga ukimtoka mtu ndipo mwisho wa magandamizo yote hapa duniani. kuchoka ni kuchoka tu hata kama rangi ya ulichokipenda bado inashine. Mi naamini hatma ya CCM imo mikononi mwao wenyewe. Hakuna atayewaza kuikoa ccm kwa staili hii. Waliishinda CUF sababu ujinga wa watanzania ulikuwa bado mwingi...
sketi nzuri tu ya mdada inaleta thamani ya huyo mdada, waje wabishe na kudai haki sawa, bado anayevaa sketi yupo juu tu. Wangelikuwa wanavaa suruali pana tungesema wanastri miili yao, sasa wanaichora jinsi ilivyo hata haipumui. kuongozwa na akili nyingine ni kazi kujitambua.
nadhani hujui mwigulu kaingia bungeni kufanya nini, chadema sio serikali mpaka mwigulu awajibu hoja zao. Pili ameacha majukumu yake sasa analinda chama na sio wananchi waliomtuma bungeni apeleke matatizo yao. kila kukicha chadema,maendeleo yataletwa kwa staili hii,
wameuwa mwili roho Iko kwa baba, hili ndilo tumaini letu, nenda mtumwa wa BWANA upumzike kwa amani, salimiana na nabii eliya, elisha, mtume paulo na wengineo.
Mimi nami nitachagua mapigo yao, nitaleta hofu zao juu yao kwasababu nilipoita hawakuitika, na niliponena hawakusikia, bali walifanya yaliyo maovu machoni pangu na kuyachagua nisiyoyafurahia,
Isaya 66:4
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.