Radio imaan na sakata la kuchinja

Radio imaan na sakata la kuchinja

Status
Not open for further replies.
Utapoteza muda kubishana na watu hao maana shida yao kubwa ni wivu tu wa kimaisha hakuna cha nyama wala nini. Mkristo akifaulu kapendelewa, akiajiriwa sababu mkristo akijenga nyumba kaiba sadaka. Kaamua kula alichochijna nongwa sasa jema lipi?
Hivi mnaponunua nyama za ng`ombe supermarkets ( Shoprites, uchumi au Mlimani city) zinazotoka nje kama south Africa, Botswana Nk mnajua hizo nyama alichinja nani ? Mbona hamuhoji? Waislamu tunakuwa nao nchi mbalimbali zikiwemo Japan, China na kadharika wanakula kila nyama no kuuliza kachinja nani lakini wakiwa home wanajifanyaaa kuwa wao eti wanaimani kali. Hivi Redio Imani na gazeti la Mwanahalisi nani anahatarisha amani ? Mimi naona hata serikali imekuwa Bias katika kuangalia sheria za vyombo vya habari

South Africa kuna Baraza la Kiislaam la ku-certify na kutoa ithibati ya 'Halal certify Food! Kenya pia lipo,
 
Na hilo ndilo liloazimiwa na wazungumzaji wengi na viongozi wa Kiislaam. Mbona itatuongezewa point na itapromote Uislaam ! Maana huku wanauza 'Nyama Halal' na huku wanauza nyama 'Holela' !

Mmh, Waislam mnatisha kwa Logic, aliyesema Nguruwe haramu kwenye Torati ni huyo huyo aliyesema Ngamia haramu pia, lakini aliyesema Nguruwe haram kwenye Quran yeye kasema Ngamia halali, huyu ni Mungu Yuleyule kweli ? au mungu ni mlevi kiasi awe anasahau alichosema huku na kusema kitu kingine upande wa pili ? Ama kuhusu nyama Halal au sio Halal sielewi wewe neno Halal kwako unafikiri ni Universal kiasi hicho,pole...imechinjwa Kiislam au haijachinjwa Kiislam uhalali au uhalam wake unatemea maamuzi ya daktari wa mifugo. hivyo swala si kuandika nyama Halal au haramu, issue ni mnunuzi ajue hii nyama ni njema kwa matumizi ya binadam japo haikuchinjwa kwa mfumo wa dini yoyote.
Tatizo kubwa ni kuwa Uislam hauwezi kusimama kwenye dunia iliyostaaribika,kwani Uislam hauna namna ya kuweza kuhubiri hadi kumfanya mtu mwenye akili timamu aamini na kumfuata mungu wenu. Uislam jeuri yake ni kueneza kwa kuupaka matope Ukristo, ili wakristo wasio ujua Ukristo wakengeuke na kufuata mafundisho ya Allah kupitia kwa muhammad.

Ni biashara ngumu sana kuhubiri Uislam hadi mtu aweze kuelewa na kuupokea,Uislam hauna formulah ya mtu kuweza kuuishi hadi kufikia peponi japo una maelezo kwa waumini wake namna ambavyo wanaweza kutenda kwa namna ya Uovu ili waweze kuenda kula kheri za akhera ya Allah...
 
South Africa kuna Baraza la Kiislaam la ku-certify na kutoa ithibati ya 'Halal certify Food! Kenya pia lipo,

kama kuna uwezekano wa kuwa na kitu kama baraza la kucertify Halal,kwa nini wewe uhangaike na watu wanaojichinjia ? kinascho shangaza badala ya Waislam kusimama na kutetea Imani yao kwa kugomea ununuzi wa nyama ambayo hamjui nani kachoinja nyie mnaaanzisha fujo kutaka haki ya kuchinja iwe mikononi mwenu tu, ni ujinga wa aina gani huu, nilifikiri kama ulivyoandika mara moja mgekaa na kujadili na kujiundika kamati yenye jukumu la kuhalalisha mabucha ya waislam kununua kitoweo, mnashindwa kufanya hivyo kwa kuwa mnajua waislam wengi wana biashara ya mabucha lakini walaji wengi ni watu wasio waislam ambao swala la nani kachinja au kachinja vipi sio big deal,kwao muhimu ni je nyama hiyo inafaa kwa kuliwa na binadam au mnyama husika amekaguliwa na wataalam kama hana magonjwa ?
Anzeni sasa kucertify mabucha ya halal acheni bughuza kwa wale wasio waislam, mimi ni mmoja ambaye nikijua kuwa nyma kachinja Muislam siwezi nunua hata kula, sababu siwezi kula nyama ambayo uchinjaji wake umefuata taratibu za miungu wenu,hiyo nyama ni kwamba imesongolewa kwa miungu,Mkristo hawezi kula nyama anayojua kabisa imechinjwa kwa ibada ya miungu.
 
Kweli lakini tusiishie hapo tu!
Kuwe na Mou ya Wakristo na Serikali na Mou ya Waislamu na Wakristo.

Kuwe na NECTA ya Waislamu na NECTA ya Wakristo.


Ama kweli nimeamini binafsi kuwa Waislamu kuna wengine punguani wa akili.

Mada iliyopo hapa ni kuchinja, wewe unaongelea MOU.

Je, huna habari kuwa humu JF kuna THREAD inayohusu MOU??? Kama unataka kuchangia MOU nenda katika ile thread utaeleweka. Lakini hapa unachanganya pumba na sukari.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Yeye achinjaye ng'ombe ni
kama yeye amwuaye mtu; na
yeye atoaye dhabihu ya
mwana-kondoo ni kama yeye
avunjaye shingo ya mbwa; na
yeye atoaye matoleo ni kama
yeye atoaye damu ya
nguruwe; na yeye afukizaye
uvumba ni kama yeye
abarikiye sanamu; naam,
wamezichagua njia zao
wenyewe, na nafsi zao
zafurahia machukizo yao.
Isaya 66:3
 
Yeye achinjaye ng'ombe ni
kama yeye amwuaye mtu; na
yeye atoaye dhabihu ya
mwana-kondoo ni kama yeye
avunjaye shingo ya mbwa; na
yeye atoaye matoleo ni kama
yeye atoaye damu ya
nguruwe; na yeye afukizaye
uvumba ni kama yeye
abarikiye sanamu; naam,
wamezichagua njia zao
wenyewe, na nafsi zao
zafurahia machukizo yao.
Isaya 66:3

Mimi nami nitachagua mapigo yao, nitaleta hofu zao juu yao kwasababu nilipoita hawakuitika, na niliponena hawakusikia, bali walifanya yaliyo maovu machoni pangu na kuyachagua nisiyoyafurahia,
Isaya 66:4
 
Redio imani niredio ambayo aina mbele wa nyuma kwani hata wafanyakazi.wake wanalipwa tshs 159,000/-hivyo ni redi ambayo s mda mrefu tu itafungwa kwani aina msaada hata kdogo.ina tangazo moja la biashara la azam peke yake.awaishi hao
 
Wamechanyikiwa! Hunikera sana wanapomkejeli Mwl Julius K. Nyerere
 
Hili suala la kuchinja mboana sijasikia kauli kutoka makanisa makubwa hapa bongo kama Catholic,Lutheran,Anglican na Moravian? Kwanini haya makanisa ya mitume sijui nabii fulani ndiyo yamelishikia bango sana hili suala? "I can smell a rotten egg" kuna ajenda nyuma ya pazia lazima.

Hata vitani mbele hutangulizwa makoplo; majenerali huwa hq wakiratibu
 
kila mtu anaweza akachinja sio lazima awe wa upande mmoja tu!!! Tuliwazoesha kula mnavyochinja naona mkaamua kufanya sheria kama hamtaki shauri zenu basi kuwe na mabucha ya kikristo na kiislamu!!
 
Kila dini ichinje na kula vilivyochinjwa na wafuasi wa dini husika... period!
 
Kuna economic reason nyuma ya kung'ang'ania kuchinja. Watu wanakusanya hela ndefu hapo, hakuna jingine.

na hii mijamaa ilivomivivu ya kufikiri basi inachukulia hiyo km ajira ya kudumu.
sasa hivi tutaanza kusikia tena mahakama ya kadhi kwani huyu ------ aliishawaahidi makubwa waislamu kabla hajaondoka kwenye madaraka haramu
 
Redio imaan wanalalamikia viongozi wa kikristo waliohimiza waumini wao kutokula nyama iliyochinjwa na watu wa imani tofauti, wanasema hii ndio ilikua mwanzo wa mauaji huko buserere

Swali kwa redio imaan, Mi nikiamua kuchinja nyama yangu tatizo nini? Kwani nikiamua kutokula mlivochinja nyie taabu inatoka wapi?

Hiyo redio lazima ifungiwe naona haina tofauti na redio za Rwanda zilizosababisha mauaji ya Kimbari.

Haifai kuwepo hewani kabisa. Siku zote wamekuwa walalamishi kupindukia. Dawa ya redio kama hiyo ya kiislamu ni TCRA kuifuta kwenye ulimwengu wa redio hapa Duniani. Shame on Radio Imani.
 
Mmh, Waislam mnatisha kwa Logic, aliyesema Nguruwe haramu kwenye Torati ni huyo huyo aliyesema Ngamia haramu pia, lakini aliyesema Nguruwe haram kwenye Quran yeye kasema Ngamia halali, huyu ni Mungu Yuleyule kweli ? au mungu ni mlevi kiasi awe anasahau alichosema huku na kusema kitu kingine upande wa pili ? Ama kuhusu nyama Halal au sio Halal sielewi wewe neno Halal kwako unafikiri ni Universal kiasi hicho,pole...imechinjwa Kiislam au haijachinjwa Kiislam uhalali au uhalam wake unatemea maamuzi ya daktari wa mifugo. hivyo swala si kuandika nyama Halal au haramu, issue ni mnunuzi ajue hii nyama ni njema kwa matumizi ya binadam japo haikuchinjwa kwa mfumo wa dini yoyote.
Tatizo kubwa ni kuwa Uislam hauwezi kusimama kwenye dunia iliyostaaribika,kwani Uislam hauna namna ya kuweza kuhubiri hadi kumfanya mtu mwenye akili timamu aamini na kumfuata mungu wenu. Uislam jeuri yake ni kueneza kwa kuupaka matope Ukristo, ili wakristo wasio ujua Ukristo wakengeuke na kufuata mafundisho ya Allah kupitia kwa muhammad.

Ni biashara ngumu sana kuhubiri Uislam hadi mtu aweze kuelewa na kuupokea,Uislam hauna formulah ya mtu kuweza kuuishi hadi kufikia peponi japo una maelezo kwa waumini wake namna ambavyo wanaweza kutenda kwa namna ya Uovu ili waweze kuenda kula kheri za akhera ya Allah...

miislamu bana. huwa inaamini eti Mungu wa wakristo ndo yuleyule allah wao wa muhamad. eti musa wa mbagala ndo huyohuyo wa masaki yaani Musa wa kwenye kijarida cha kurani ndo huyohuyo wa kwenye Biblia Takatifu. hawa jamaa wehu sn. waarabu waongo allah na muhammad wanailaani Israel taifa teule la Mungu wa kweli wkt Biblia takatiku kupitia kwa Mkombozi wa ulimwengu wote akiwamo mpotoshaji allah inamtukuza na kuibariki Israel taifa teule la Mungu wa kweli.
Kujua Yupi mungu wa kweli we angalia matendo ya kila dini duniani kote.
 
Mmh, Waislam mnatisha kwa Logic, aliyesema Nguruwe haramu kwenye Torati ni huyo huyo aliyesema Ngamia haramu pia, lakini aliyesema Nguruwe haram kwenye Quran yeye kasema Ngamia halali, huyu ni Mungu Yuleyule kweli ? au mungu ni mlevi kiasi awe anasahau alichosema huku na kusema kitu kingine upande wa pili ? Ama kuhusu nyama Halal au sio Halal sielewi wewe neno Halal kwako unafikiri ni Universal kiasi hicho,pole...imechinjwa Kiislam au haijachinjwa Kiislam uhalali au uhalam wake unatemea maamuzi ya daktari wa mifugo. hivyo swala si kuandika nyama Halal au haramu, issue ni mnunuzi ajue hii nyama ni njema kwa matumizi ya binadam japo haikuchinjwa kwa mfumo wa dini yoyote.
Tatizo kubwa ni kuwa Uislam hauwezi kusimama kwenye dunia iliyostaaribika,kwani Uislam hauna namna ya kuweza kuhubiri hadi kumfanya mtu mwenye akili timamu aamini na kumfuata mungu wenu. Uislam jeuri yake ni kueneza kwa kuupaka matope Ukristo, ili wakristo wasio ujua Ukristo wakengeuke na kufuata mafundisho ya Allah kupitia kwa muhammad.

Ni biashara ngumu sana kuhubiri Uislam hadi mtu aweze kuelewa na kuupokea,Uislam hauna formulah ya mtu kuweza kuuishi hadi kufikia peponi japo una maelezo kwa waumini wake namna ambavyo wanaweza kutenda kwa namna ya Uovu ili waweze kuenda kula kheri za akhera ya Allah...

Tatizo huelewi nini maana ya 'Halal na Haram' kisha una maelezo meeengi yasiyo na msingi !
"Na katika watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila 'elimu' wala uwongofu, wala Kitabu chenye nuru.
Q: 22:8.
 
Hiyo redio lazima ifungiwe naona haina tofauti na redio za Rwanda zilizosababisha mauaji ya Kimbari.

Haifai kuwepo hewani kabisa. Siku zote wamekuwa walalamishi kupindukia. Dawa ya redio kama hiyo ya kiislamu ni TCRA kuifuta kwenye ulimwengu wa redio hapa Duniani. Shame on Radio Imani.

Wanacho kilalamikia we unacho nini ? Mbona umetaharuki !
 
miislamu bana. huwa inaamini eti Mungu wa wakristo ndo yuleyule allah wao wa muhamad. eti musa wa mbagala ndo huyohuyo wa masaki yaani Musa wa kwenye kijarida cha kurani ndo huyohuyo wa kwenye Biblia Takatifu. hawa jamaa wehu sn. waarabu waongo allah na muhammad wanailaani Israel taifa teule la Mungu wa kweli wkt Biblia takatiku kupitia kwa Mkombozi wa ulimwengu wote akiwamo mpotoshaji allah inamtukuza na kuibariki Israel taifa teule la Mungu wa kweli.
Kujua Yupi mungu wa kweli we angalia matendo ya kila dini duniani kote.

Akili za kigalatia bana ! Eti taifa teule la mungu !
Kisa mungu wenu wao ni mjomba, mtoto wa dada yao. Eti mnayo picha ya mungu ?
 
734973_521041227946072_286738137_n.jpg
 
na hii mijamaa ilivomivivu ya kufikiri basi inachukulia hiyo km ajira ya kudumu.
sasa hivi tutaanza kusikia tena mahakama ya kadhi kwani huyu ------ aliishawaahidi makubwa waislamu kabla hajaondoka kwenye madaraka haramu

Kadhi haimhusu Mgalatia !
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom