Wakaaji jamvini, propaganda zooote hizi za CCM na CHEDEMA lakini ukweli/facts ni kwamba CCM itashinda tu 2015 hata kama watanzania wooote watachagua CHADEMA. Lakini hivi mpaka sasa wadau mnajua ataegombea kiti hicho kupitia CCM? Nauliza kwa sababu baada ya Mkapa tulijua mapemaaaa kuwa Kikwete ndo atayefatia
Ni... Mwakyembe George, Dr Harrison, akikataa labda Kigoda omar, Dr.Abdalla
Steven wasira vp?
anatisha sura,mzee hana jipya.Steven wasira vp?
Wakaaji jamvini, propaganda zooote hizi za CCM na CHEDEMA lakini ukweli/facts ni kwamba CCM itashinda tu 2015 hata kama watanzania wooote watachagua CHADEMA. Lakini hivi mpaka sasa wadau mnajua ataegombea kiti hicho kupitia CCM? Nauliza kwa sababu baada ya Mkapa tulijua mapemaaaa kuwa Kikwete ndo atayefatia
Samuel Sitta ni chaguo bora kabisa