Nani rais mwaka 2015

Wakaaji jamvini, propaganda zooote hizi za CCM na CHEDEMA lakini ukweli/facts ni kwamba CCM itashinda tu 2015 hata kama watanzania wooote watachagua CHADEMA. Lakini hivi mpaka sasa wadau mnajua ataegombea kiti hicho kupitia CCM? Nauliza kwa sababu baada ya Mkapa tulijua mapemaaaa kuwa Kikwete ndo atayefatia



mi nataka rais awe lowassa
 
Wakaaji jamvini, propaganda zooote hizi za CCM na CHEDEMA lakini ukweli/facts ni kwamba CCM itashinda tu 2015 hata kama watanzania wooote watachagua CHADEMA. Lakini hivi mpaka sasa wadau mnajua ataegombea kiti hicho kupitia CCM? Nauliza kwa sababu baada ya Mkapa tulijua mapemaaaa kuwa Kikwete ndo atayefatia

According 2 u!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom