Ukawa wameshindwa kushughulika mzozo huu kati ya chadwma na cuf huko mtwara.....alianza kutekwa mgombea wa chadema...then cuf nao wameathirika...inaweza kuwa ni mkono pia wa vijana green g pia
Na jamaa lowassa anaimba Aliselema Alija...selema.selema.alija....halafu anasema ndio serekali yake ya mchaka mchaka.....huo mwimbo ni wa nani..mbona ukawa mnakuwa shortminded kiasi hiki...kwa mwaka huu hili liko wazi wagombea wote sera zinafanan...mabadiliko na kila mtanzania hasa mwenye akili...
Mzee Mwanakijiji
MM being a critical thinker in a society which doesnt thic crical issues need to be critically analysed is like wrestling with a pig in a mudland....because at the end of the day you will come to realise that it is the pig who is actually enjoying the same.
Kwa nn hukuleta taarifa hizi kabla ya mkutano unazileta wakati mkutano upo tayari na unajiita mratibu wa suala hili.......jamaa alitarajiwa kukosa watu hata wa kusombwa sasa imekuwaje.....imekula kwa haters....lawassa lazima afunike hapo hamna doubt ila jamaa kawasuprise
Taarifa ya familia inakinzana na ya polisi...mfano wamesema kuna wasamalia walikuja kuwasaidia...polisi wanasema eneo la tukio halina makazi ya watu ndio maana wahanga walikutwa peke yao bila mashuhuda.....fuatilieni what opposition parties are saying in Rwanda abt this death...hiyo siyo issue...
Alienda tanga...akafika wilaya ya lushoto huko pembezoni panaitwa soni na sio lushoto mjini..watu wa lushoto mjini wakahoji kwa nn anaishia soni..wakajibiwa eti atarudi tarehe 10/10/2015.....sasa ni mikutano takribani 3jamaa anawatia ndimu watu...kuna shida gani jamani tuambiwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.