mabaraza john
Member
- Sep 25, 2015
- 15
- 1
haa wapi kama kawa tutajitokeza kwa wingi kusikiliza polojo za ukawa na ccm.chama ni ACT tu
kimkakati hapa ccm wamechemka hii itaonyesha dhahir ni ukabila na ukitegemea kigezo hicho kiweze kum beba magufuli nadharia hii imefaili kati ya watu wenye mwamko wa kuichukia ccm kanda ya ziwa wapo juu na upepo unavuma hivyo , na ni watu pia ccm imewanyanyapaa kwenye madini ,uvuvi ,mifugo inaibwa sioni hoja hapa ya kushawishi ushindi
Natabiri umeme kukatika dar siku hiyo ya kufunga kampeni
Chadema wawahi kabisa coverage ya television kabka hawa jamaa hawajalipia zote kwa siku tatu mfululizo.
patamu sana hapa ccm wanaenda kufunga kampeni kwa wavuvi wa sangara na sato .itakuwaje wakiulizia nyavu zao zilizochomwa moto ,na mgombea ni yule alietoa amri , itakuwaje wakimuuliza kuwa hata wewe wa nyumbani unatutesa hivi na familia ipate mlo mmoja mi napita tu nitarudi baadae
Oyoooooo!Jamani nimefurahije?
Can't wait kabisa kwenda Jangwani kwa mara nyingine,ile mara ya kwanza nilichelewa nilienda saa 7,this time nitaenda saa 4 asubuhi maana patakuwa hapatoshi!
Wanamabadiliko tukutane Jangwani October 24.
Ntaamkia JANGWANI
Katika hizo 2.0m za CCMHaina shida siku hiyo moja, haitabadili chochote, kila mtu atakuamekwisha amua nani atampigia kura, hiyo ni siku ya kuhitimisha tu. Lakini pia usisahau Dar pekee ina kura zaidi ya 2.5m!
Viwanja viwili vinategemea kuwaka moto siku ya mwisho wa kampeni trh 24.
Mgombea wa UKAWA mh Edward Lowassa atakuwa Dar es salaam kwenye viwanja vya Jangwani wakati mgombea wa CCM mh Pombe Magufuli atakuwa jijini Mwanza kwenye uwanja wa CCM Kirumba imejulikana.
Katika rekodi zangu hii ni mara ya kwanza kwa CCM kufunga kampeni zake nje ya jiji la Dar es salaam.
Wewe nenda tu,ile siku si uliniacha?
Safari hii nitaenda na kaka zangu wengine wanaonipenda na kunijali.
Hapo vepee?
Ukisikia tena mwandishi wao katimuliwa kwenye msafara wala usijiulize, ni zaidi ya mahaba.
Soma ratiba hiyo kisha uje ulete post yako na sio mahaba na tetesi
Mikoa karibu sita. Wakati Dar yenyewe ina kura millioni 3....
Mwanza ina kura million 1
Wewe nenda tu,ile siku si uliniacha?
Safari hii nitaenda na kaka zangu wengine wanaonipenda na kunijali.
Katika hili nadhani CCM wamechemka kabisa. Kanda ya ziwa(Mwanza, Mara, Shinyanga, Kagera, Geita, Simiyu) ndio eneo ambalo CCM kisiasa wana hali mbaya zaidi kuliko eneo lingine lolote katika uchaguzi huu. CCM walifanya makosa makubwa sana mwaka 2010 waliporuhusu CHADEMA kuigeuza kanda ya Ziwa kuwa Ngome yao kuu na wakashindwa kabisa kurekebisha hili kwa miaka yote mitano toka 2010.
Mwaka huu CHADEMA wamejizatiti kuchukua majimbo yote ya mijini huko kanda ya ziwa pamoja na madiwani wa kutosha ili kuongoza Halmashauri zote za hiyo miji ya Kanda ya ziwa.
Mahali pekee muhimu kwa CCM katika uchaguzi huu labda pangewafaa kufungia kampeni zao ni kanda ya Kati katika mkoa wa Dodoma kwa sababu ndio makao makuu ya CCM na nchi na wangekuwa wameepuka kabisa kujionyesha kama chama cha Kikanda.
Dar haina wagombea bora wa UKAWA wanaokubalika!!
Mimi na mke wangu toa kwenye mil. 6 mie naipa Ukawa tubadilike tu maana hakuna namna CCM imeoza
Huenda unaandika hii post uko Dar,ila nikuambir tu kanda ya Ziwa Mgombea pekee atakayeongoza ni Magufuli..."uluulema lekaga nkoi tugwisaga halubuga"