Mbona agizo la tume linakiukwa

Mbona agizo la tume linakiukwa

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
501
Imeshangaza abdala bulembo kama kiongozi wa ngazi ya juu ktk chama chake , akiwa katika kampeni za kumsindikiza mgombea urais wa chama iko alipo kuwa akikiuka agizo la tume kuacha kuwasema watu na mambo yao binafsi na kunadi sera, chakushangaza mwandamizi huyo wa chama iko bila aibu alikuwa akitoa maneno ya kashfa kwa tundu lissu, na matusi kwa mh, halima mdee, hii aikubaliki hata kidogo anadi sera sio kuzungumzia mambo binafsi ya watu
 
Imeshangaza abdala bulembo kama kiongozi wa ngazi ya juu ktk chama chake , akiwa katika kampeni za kumsindikiza mgombea urais wa chama iko alipo kuwa akikiuka agizo la tume kuacha kuwasema watu na mambo yao binafsi na kunadi sera, chakushangaza mwandamizi huyo wa chama iko bila aibu alikuwa akitoa maneno ya kashfa kwa tundu lissu, na matusi kwa mh, halima mdee, hii aikubaliki hata kidogo anadi sera sio kuzungumzia mambo binafsi ya watu

Sumaye jana kasemaje kaka...au jivho laona kule lilipoelekea tu
 
Acheni kulialia nyie si makamanda?
 
ccm ndicho walichobakiza kwa sasa mkuu, ama kweli debe tupu......
 
Back
Top Bottom