Hivi mgombea wenu magufuli yupo kweli
Atakuwa kazidiwa huyu mzee anayeishi kwa matumaini
Mkutano umeshindikana kutokana mgombea kushindwa kuwasili uwanjani.watu wameanza kuondoka kwa hasira.
Angeongea hata dakika 2, kama kawaida yake!kwa sababu ni mzee wa dak5 tehee!!
mkutano umeshindikana kutokana mgombea kushindwa kuwasili uwanjani.watu wameanza kuondoka kwa hasira.
Kudoda nini? hebu acha kutumia maneno yanayotumiwa na makahaba. Mmmmmh nimekumbuka wewe huwa unapatika kinondoni makaburiniMkutano umeshindikana kutokana mgombea kushindwa kuwasili uwanjani.watu wameanza kuondoka kwa hasira.
Ukawa Mbona Unataka Kututupia Lawama Sisi,hivi Hao Wenzenu Waliokuwa Wanamsubiri Ni Wajinga?Inamaana Wote Hao Walidanganywa?Inamaana Mpaka Viongozi Wa Karatu Wa Ukawa Wanasimamia Maandalizi Ya Jukwaa Na Vitu Kama Hivo Walidanganywa Ratiba??Acheni Kutukejeli Na Kutushutumu Kwa Kila Kitu Wakati Vitu Vipo Clear Kabisa....!!![/QUOTE
Yawezekana MZEE wa watu ameshindwa kutembea mpigeni kale kashoti kwanza huenda akawa POA. Sijui lkn kilichompata huenda kachoka. Tunwombee na hivi ikulu haendi.
Nyumbu ktk ubora wao Karatu waliandaa mpaka jeneza lakuizikia ccm, sasa maandalizi yameamishwa tarehe 9
Mnasingia chopa wakati mzee mwenyewe hajiwezi,mnachekesha nyinyi!
hii imekaaje wamewahidi watu atakuja tar 9 cdhani maana ratiba ya jimbo mara mbili cjui km itawezekana.