Nchi yenye watu maskini rushwa haiwezi kuisha,tena magu akiendelea na hii ahenda atazeeka bure maaha hata ikula walaji wapo,watu wanaendelea kupiga kama kawa,ushirawadu ni mwingi,bro fanya mambo yako kama umetoa poa somesha mwanao naye awe polisi ili nae ale,lakini hakuna haki,sheria bali ni...
He,kwa maisha yalivyo sijui unafanya kazi gan lakini kama unalipwa chini ya laki tano na uko Dar,unacjoweza kupata ni zawadi tu lakini kutunza mtu huwezi,pia kuombwa hela ss huku kwetu ni jadi tena ya kunyea kiroba eeh sa hizi sio tena ,lakini mtu anakuomba hela ya sigara,muhimu ni nani umsaidie...
Elimu kwa kweli sasa ni shimo la taifa hili,walimu hawathaminiwi,miundombinu hafifu na haitoshi walimu hawatoshi waliopo hawaongozwi ipasavyo,sera zinakinzana,mfano mtu anakwambia hakikisha hupati div zero wakati alikuletea mtahiniwa asieweza hata hesabu ya kutoa,watoto na walimu hukaa mbali ya...
Ninyi mnataka aseme nni?hivi yanayosemwa ktk nyumba nyingine mnayajua?mlizoea kuoshwa tu na kusifiwa maisha ni pamoja na hayo,sheria ipi amevunja?au ndo yaleyale matumizi ya ñguvu,hii nchi yetu sote .
Nafurahi kuona maoni yako lakini mi nikimsikia Mze Hashim Rungwe, naona anajitahidi ,ila vyama vyetu vinatakiwa kufanyiwa marakebisho na hizi kelele za watu si bure kwa sababu mi binafsi sifahamu falsafa na misimamo ya vyama vyetu,kuna wasimamia jembe na nyundo ndio wakandamizaji na...
Uende na tin number,mkataba uliosainiwa na hakimu,kadi original, fedha tasilimu si chini ya laki moja kutegemeana na fefha uli;nunulia gari yako(iliopo kwenye mkataba).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.