Gharama ya kubadili ownership Gari

Gharama ya kubadili ownership Gari

Utalipa transfer fee ya 1% ya gharama ya kununua gari( mkataba wa mauziano utaonesha), plus stamp duty Tshs.10,000 na kuna shs. 60,000 nyingine (sikumbuki inaitwaje) so simply Tshs.70,000 plus 1% ya gharama ya kununua gari.
 
Uende na tin number,mkataba uliosainiwa na hakimu,kadi original, fedha tasilimu si chini ya laki moja kutegemeana na fefha uli;nunulia gari yako(iliopo kwenye mkataba).
Kumbe ni hakimu mie najua kuwa mkataba wa mauziano ambao umesainiwa na mwanasheria anaye tambulika na serikali au kiongozi wa serikali labda niongezee elimu hapo mkuu
 
Na kuna haja ya muuzaji na mnunuzi wote kuwepo?
Bila shaka, kwa sababu TRA wanasema:-
"Kodi ya kubadili umiliki wa chombo cha moto inalipwa wakati chombo kinapobadili mmiliki kutoka mtu mmoja kwenda mwingine. Kodi ya kuhamisha inalipwa na mmiliki mpya na ushuru wa stempu 1% unalipwa na muuzaji. Kodi hizo zinalipwa benki."

Kodi za Kubadili Umiliki

Gari

TSh 50,000

Pikipiki

TSh 27,000

Kadi mpya ya usajili iliyobadilishwa

TSh 10,000.
 
Back
Top Bottom