felicianmodest
Member
- Nov 19, 2016
- 49
- 17
Hapana,peleka tu vitu muhimu.Na kuna haja ya muuzaji na mnunuzi wote kuwepo?
Hapana,peleka tu vitu muhimu.Na kuna haja ya muuzaji na mnunuzi wote kuwepo?
Utalipa transfer fee ya 1% ya gharama ya kununua gari( mkataba wa mauziano utaonesha), plus stamp duty Tshs.10,000 na kuna shs. 60,000 nyingine (sikumbuki inaitwaje) so simply Tshs.70,000 plus 1% ya gharama ya kununua gari.

Kumbe ni hakimu mie najua kuwa mkataba wa mauziano ambao umesainiwa na mwanasheria anaye tambulika na serikali au kiongozi wa serikali labda niongezee elimu hapo mkuuUende na tin number,mkataba uliosainiwa na hakimu,kadi original, fedha tasilimu si chini ya laki moja kutegemeana na fefha uli;nunulia gari yako(iliopo kwenye mkataba).
Bila shaka, kwa sababu TRA wanasema:-Na kuna haja ya muuzaji na mnunuzi wote kuwepo?