Synod
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 4,091
- 4,028
Moyo hautiwi kwa namna hiyo aisee, kama unajua kifuatilia vizuri uandishi ukahusisha na emotions za mwandishi, utagundua jamaa yetu mpaka anaadika alikuwa na stress nyingiSio mihemko anawatia moyo wengine ambao wana woga wa kuthubutu! Pia hapa atakutana nawalio tangulia kuacha hapo awali wampe mbinu nyingine!