Jeshi la polisi mkoani Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili kati ya sita wanaotuhumiwa kutekeleza matukio mbalimbali ya uvamizi na upigaji wa nondo na kupora mali za wananchi jijini Mbeya.
Mbele ya waandishi wa habari jijini Mbeya kamanda wa polisi mkoa mkoani humo kamishna msaidizi...
Nakuombea amani katika kipindi hiki kigumu kwako na wapendwa wako... Najua unachopitia, nilipoteza mtu wangu wa karibu mwanzoni mwa 2024 na sijawahi kupona hadi leo, kuna siku maumivu yanakua makali kuliko ile siku tukio limetokea... Kuna kipindi namuota hata wiki mfululizo, ni maumivu ambayo...
Humu naona kila mtu yeye alikua mzuri ila wabaya ni hao waliokua rafiki zake.
Miaka kadhaa nyuma nilikua na hali mbovu sana ya kiuchumi kwa sababu kuna namna nilijichanganya nikawa na majukumu mengi halafu sina kazi yoyote so nilijiajiri kuwa afisa ubashiri, ili nipate hiyo pesa ya kuipeleka...
"Kuna siku nikamkuta kwenye friji nikamshika makalio. Akashtuka. Nami alivyogeuka nikashangaa... Nikamwambia. Asiee.... Nlidhani ni Aisha... (Dada yake) Nlimwambia umekaa sana na dada yako mpaka sasa mnafanana" - GuDume., (2025).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.